Hapana! kuoga maji ya moto siyo kinga dhidi ya Corona

May 22, 2020 9:03 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Maji ya moto hayawezi kukinga na maambukizi ya COVID-19.
  • WHO imesema hata ukioga maji ya moto, joto la mwili hubaki katika hali yake ya kawaida.

Dar es Salaam. Kutokana na janga la virusi vya ugonjwa wa Corona (COVID-19) kuitesa dunia, zimeibuka dhana potofu za kutibu ugonjwa huo ikiwemo kuoga maji ya moto. 

Hata hivyo, Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema siyo kweli kuoga maji ya moto kunatibu Corona kama inavyodhaniwa na baadhi ya watu. 

Limesema licha ya kuoga maji ya moto, joto la mwii wako litabaki katika hali yake ya kawaida ambayo ni kuanzia sentigredi 36.5 hadi sentigredi 37.

Ikiwa utaoga maji ya moto sana, unaweza kuungua na kuishia kupata gharama za kujitibu majeraha utakayopata.


Zinazohusiana:


Ili kujikinga na COVID-19 unashauriwa kufuata maelekezo ya wataalam wa afya ikiwemo kukaa umbali wa walau mita moja kati yako na jirani yako, kunawa mikono kwa maji tiririka au kutumia vitakasa mikono vilivyothibitishwa. 

Pia epuka kugusa pua, mdomo au macho na mikusanyiko isiyo ya lazima, 

Tahadhari hizo zitakusaidia kujikinga na ugonjwa huo ambao umeenea katika nchi mbalimbali duniani. 

Usiogope! Corona inazuilika na kutibika.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
16 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
16 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
16 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Magonjwa haya matano yanayoongoza kwa kuua watu duniani

Magonjwa haya matano yanayoongoza kwa kuua watu duniani

Nukta TV

Mambo yakuzingatia kabla ujawasha gari lako asubuhi

Mambo yakuzingatia kabla ujawasha gari lako asubuhi

Nukta TV

Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Nukta TV