Zawadi za kumpatia umpendaye wakati wa janga la Corona

March 30, 2021 1:36 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Unaweza kumnunulia bidhaa za kupambana na ugonjwa wa Corona

Dar es Salaam. Kumpatia mtu zawadi ni sehemu ya kuonyesha upendo wako kwake. 

Katika kipindi cha Corona ambacho huenda mipaka ya nchi inakufanya uwe mbali naye, kuzuiliwa kwa mikusanyiko kunakufanya ushindwe kuhudhuria sehemu za kujivinjari, bado tumaini la kuonyesha upendo lipo.

Waswahili husema afya ni mtaji na pia ni bora kuliko mali hivyo huenda ukaanza kuchukulia afya ya umpandaye kama jambo la msingi na muhimu.

Kutokana na shughuli mbalimbali za kazi kuendelea, umpendaye anasahau kuchukua tahadhari za kujikinga na ugonjwa wa COVID-19 anapokuwa kazini na sehemu zingine anazochangamana na watu.

Hata hivyo, kumpatia zawadi zinazoweza kumsaidia kujikinga na ugonjwa huo inaweza ikawa ni sehemu ya wewe kuonyesha upendo wako kwake. 

Ni zawadi gani unazoweza kumpatia? Tazama video kujifunza zaidi.

                   

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
17 Aug, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
17 Aug, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Nukta TV

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Nukta TV

Rais Samia awataka wananchi wa Kizimkazi kutunza miundombinu ya maji

Rais Samia awataka wananchi wa Kizimkazi kutunza miundombinu ya maji

Nukta TV