Zawadi za kumpatia umpendaye wakati wa janga la Corona

March 30, 2021 1:36 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Unaweza kumnunulia bidhaa za kupambana na ugonjwa wa Corona

Dar es Salaam. Kumpatia mtu zawadi ni sehemu ya kuonyesha upendo wako kwake. 

Katika kipindi cha Corona ambacho huenda mipaka ya nchi inakufanya uwe mbali naye, kuzuiliwa kwa mikusanyiko kunakufanya ushindwe kuhudhuria sehemu za kujivinjari, bado tumaini la kuonyesha upendo lipo.

Waswahili husema afya ni mtaji na pia ni bora kuliko mali hivyo huenda ukaanza kuchukulia afya ya umpandaye kama jambo la msingi na muhimu.

Kutokana na shughuli mbalimbali za kazi kuendelea, umpendaye anasahau kuchukua tahadhari za kujikinga na ugonjwa wa COVID-19 anapokuwa kazini na sehemu zingine anazochangamana na watu.

Hata hivyo, kumpatia zawadi zinazoweza kumsaidia kujikinga na ugonjwa huo inaweza ikawa ni sehemu ya wewe kuonyesha upendo wako kwake. 

Ni zawadi gani unazoweza kumpatia? Tazama video kujifunza zaidi.

                   

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: RAIS SAMIA AKIHITIMISHA MAFUNZO YA UONGOZI NGAZI YA JUU, UONGOZI DARAJA LA PILI KOZI 2025/26

🔴LIVE: RAIS SAMIA AKIHITIMISHA MAFUNZO YA UONGOZI NGAZI YA JUU, UONGOZI DARAJA LA PILI KOZI 2025/26

Nukta TV

Rais Samia: Anzisheni mfuko  kuwasaidia wafungwa wenye ujuzi wanapotoka gerezani

Rais Samia: Anzisheni mfuko kuwasaidia wafungwa wenye ujuzi wanapotoka gerezani

Nukta TV

🔴LIVE: RAIS SAMIA AKIHITIMISHA MAFUNZO YA UONGOZI NGAZI YA JUU, UONGOZI DARAJA LA PILI KOZI 2025/26

🔴LIVE: RAIS SAMIA AKIHITIMISHA MAFUNZO YA UONGOZI NGAZI YA JUU, UONGOZI DARAJA LA PILI KOZI 2025/26

Nukta TV