Faida inazopata nchi, watu wake wakipata chanjo ya Corona

July 19, 2021 8:04 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Inafungua fursa kwa watu kusafiri na kufanya biashara.
  • Inapunguza vifo na kupata nguvukazi ya uzalishaji mali.

Dar es Salaam. Chanjo ya ugonjwa wa Corona ni kati ya njia zilizoonekana kuchukua nafasi kubwa katika kupambana na ugonjwa huo kwa sasa duniani.

Kwa sasa chanjo sita ikiwemo Moderna zimeidhinishwa na zinatolewa kwa nchi mbalimbali ili kukabiliana na virusi hivyo ambavyo vimeathiri maisha na uchumia wa dunia.

Kutolewa kwa chanjo ya Corona kumesaidia kulegezwa kwa masharti yaliyowekwa awali kukabiliana na ugonjwa huo ikiwemo kuzuiliwa kwa safari za kimataifa na watu kutoruhusiwa kutoka katika nyumba zao (lockdown).

Ni faida gani nyingine ambazo nchi inaweza kupata endapo watu wake watapatiwa chanjo dhidi ya Corona.

Katika video hii, Nukta Fakti inakuletea faida ambazo zinaambatana na nchi kukubali kupokea chanjo dhidi ya Corona:

                 

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV