Jinsi ya kuishinda hofu ya kupata chanjo ya Corona

October 1, 2021 8:43 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Hofu hiyo inasababishwa na kusambaa kwa habari zisizo za ukeli juu ya chanjo za Corona.

Dar es Salaam. Utolewaji wa chanjo ya Corona ni miongoni mwa maeneo yaliyojaa habari za uzushi ikiwemo chanjo kuwa na madhara dhidi ya watu uku wengine wakihoji ufanisi wa chanjo zinazotolewa.

Kwa mujibu wa ripoti zilizotolewa na Shirika la Afya Duniani (WHO), tangu utolewaji wa chanjo ya Corona, hakuna chanjo ambayo imefanya kazi kwa asilimia 100 katika majaribio yake.

Lakini chanjo ambazo zimethibitishwa na WHO zimeonyesha ufanisi mkubwa wa kupambana na ugonjwa huo.

Kwa nini unashauriwa kuepuka hofu ya kupata chanjo ya Corona inayoendelea kusambazwa na watu mbalimbali katika mitandao ya kijamii na tovuti? Fuatilia dondoo hizo muhimu kwa kutazama video fupi.

                       

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
16 Aug, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
16 Aug, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Nukta TV

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Nukta TV

Rais Samia awataka wananchi wa Kizimkazi kutunza miundombinu ya maji

Rais Samia awataka wananchi wa Kizimkazi kutunza miundombinu ya maji

Nukta TV