Dhana potofu za kuepukwa baada ya kupata chanjo ya Corona

July 5, 2021 12:25 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni kufikiri kuwa kupata chanjo ndiyo mwisho wa kuchukua tahadhari dhidi ya Corona.
  • Baada ya chanjo endelea kuchukua tahadhari ikiwemo kunawa mikono na kuvaa barakoa.

Dar es Salaam. Baadhi ya watu wanafikiri wakipata chanjo ya Corona hawatakiwi kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa huo.

Wanafikiri ndiyo mwisho wa kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni, kuvaa barakoa na ndiyo mwanzo wa kuanza kukusanyika kama ilivyokuwa miaka mitano iliyopita.

Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), hakuna chanjo ya Corona ambayo imetolewa na kuthibitishwa kufanya kazi kwa asilimia 100 kwa watu waliopata chanjo hiyo.

Ni sawa na kusema haujahakikishiwa kuwa usipochukua tahadhari dhidi ya Corona kisa umepata chanjo, hautaupata ugonjwa huo bali utakuwa katika upande salama zaidi kuliko ambaye hajapata chanjo kabisa. 

Licha ya kupata chanjo dhidi ya Corona, WHO inashauri kuendelea kuchukua tahadhari kwa kufuata kanuni za afya zilizotolewa dhidi ya ugonjwa huo unaoendelea kusumbua watu duniani.

Jifunze zaidi kwa kutazama video hii:

                        

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV