Fahamu bei za mazao makuu ya chakula zinazotumika leo Tanzania

November 30, 2022 2:54 pm · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Wakazi wa Mkoa wa Lindi leo Novemba 30, 2022 wananunua maharage kwa Sh380,000 kwa gunia la kilo 100. Bei hiyo ndiyo bei ya juu kabisa nchini kwa zao hilo la chakula.

Kwa mujibu wa bei za mazao makuu ya chakula zilizotolewa na Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara, maharage yanauzwa kwa bei ya chini katika mikoa ya Rukwa, Iringa na Dodoma. Wakazi wa mikoa hiyo wananunua maharage kwa Sh180,000. 

Follow Us on TikTok

Subscribe to Our YouTube Channel

Subscribe

Loading videos...

Loading videos...

Loading videos...