Fahamu bei za mazao makuu ya chakula zinazotumika leo Tanzania
November 30, 2022 2:54 pm ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Wakazi wa Mkoa wa Lindi leo Novemba 30, 2022 wananunua maharage kwa Sh380,000 kwa gunia la kilo 100. Bei hiyo ndiyo bei ya juu kabisa nchini kwa zao hilo la chakula.
Kwa mujibu wa bei za mazao makuu ya chakula zilizotolewa na Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara, maharage yanauzwa kwa bei ya chini katika mikoa ya Rukwa, Iringa na Dodoma. Wakazi wa mikoa hiyo wananunua maharage kwa Sh180,000.

Latest
11 hours ago
·
Lucy Samson
Rais Samia aunda tume ya uchunguzi wa makosa ya kijinai ya Oktoba 29
12 hours ago
·
Lucy Samson
Tanzania mwenyeji mkutano mkubwa wa Africa Agri Expo 2026
13 hours ago
·
Fatuma Hussein
Serikali ya Tanzania yatangaza tahadhari, Ebola ikisambaa DRC, Uganda
19 hours ago
·
Fatuma Hussein
Magari 10 yanayotumia mafuta kidogo