Uchaguzi
All

Election Coverage · September 13, 2025

INEC yamteua upya Luhaga Mpina kugombea urais uchaguzi mkuu 2025

Hatua hii imekuja baada ya mgombea huyo kushinda kesi aliyofungua kupinga uamuzi wa kuenguliwa kwenye mchakato wa uteuzi.

Election Coverage · September 9, 2025

 CCM yaahidi uwanja wa ndege, kongani ya viwanda Singida

Samia asema uwanja wa ndege utafungua fursa za kibiashara na ajira. Dar es Salaam. Mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, ameahidi ujenzi wa viwanda pamoja na uwanja wa ndege mkoani Singida endapo chama chake kitapata ridhaa ya kuendelea kuongoza nchi kwa miaka mitano ijayo. Akihutubia wananchi wa Singida Mjini leo Septemba […]

Election Coverage · August 28, 2025

Mahakama yaipa Serikali siku tano kujibu kesi ya ACT Wazalendo

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa ACT, Mahakama imeitaka Serikali kutoa majibu ya pingamizi ndani ya siku tano badala ya 14.

Election Coverage · August 28, 2025

Hawa hapa walioteuliwa ubunge na Kamati Kuu CCM wakitokea Chadema

Ushindani huo ulitokana na ongezeko la wanachama kutaka kuwania nafasi hiyo huku wengine wakitoka katika vyama vyao na kujiunga na CCM.

Election Coverage · August 27, 2025

INEC yakamilisha uteuzi wagombea urais, ACT, ADC wawekwa kando

Ni kutokana na madai ya ukiukwaji wa taratibu za kisheria katika mchakato wa uteuzi ndani ya vyama vyao.

Election Coverage · August 27, 2025

ACT Wazalendo watofautiana na INEC Mpina kutogombea urais wa Tanzania

Hiyo ni kwa sababu alifuata taratibu zote za kisheria, ikiwemo kuteuliwa rasmi na chama, kutambulishwa kwa INEC na kukabidhiwa fomu kisheria.

Election Coverage · August 23, 2025

Othman ajinadi kuwania urais Zanzibar

Othman amebainisha kuwa chama chake kimeamua kushiriki Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 licha ya changamoto zinazotokana na mazingira ya kisiasa.

Election Coverage · August 18, 2025

Hatma ya watia nia Ubunge CCM kujulikana Agosti 21 na 23

Kwa mujibu wa Makalla vikao hivyo vitafanyika jijini Dodoma chini ya Mwenyekiti wa chama hicho ambaye pia ni Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan Agosti 21 na 23 mwaka huu.

Election Coverage · August 16, 2025

Wafahamu wagombea watakaochuana na Samia nafasi ya Urais 2025

Nukta Habari imekuandalia orodha ya wagombea wa watakaochuana na Samia mgombea urais anayeomba ridhaa ya kuendelea kubaki madarakani.

Election Coverage · August 12, 2025

Tanzania ina vyama vingapi vya siasa?

Dar es Salaam. Oktoba 29, 2025 Tanzania inaenda kuandika historia nyingine kwa kufanya Uchaguzi Mkuu ambapo Watanzania watachangua wawakilishi wao yaani madiwani, wabunge na Rais. Huo utakuwa Uchaguzi Mkuu wa saba tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini Tanzania mwaka 1992.  Vyama 18, kati ya 19 vyenye usajili wa kudumu, vimethibitisha kushiriki uchaguzi huo […]

Election Coverage · August 11, 2025

CCM kukusanya Sh100 bilioni kufanikisha kampeni Uchaguzi Mkuu 2025

CCM kufanya harambee kukusanya Sh100 bilioni zitakazotumika wakati wa kampeni ya kuwanadi wagombea wa chama hicho kwenye Uchaguzi Mkuu.

Election Coverage · August 7, 2025

Fahamu idadi ya majimbo na wapiga kura Uchaguzi Mkuu wa 2025

Jumla ya wapiga kura 37,655,559 wamesajiliwa kushiriki katika Uchaguzi Mkuu. Kati yao wanaume ni milioni 18,712,104 huku wanawake wakiwa milioni 18,943,455.

Election Coverage · August 6, 2025

Maswali 5 ya kujiuliza kabla ya kuamini taarifa za uchaguzi mtandaoni

Arusha. Wakati Tanzania ikiajiandaa na uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu, ni kawaida kusikia au kuona taarifa nyingi zinazohusu tukio hilo katika mitandao mbalimbali ya kijamii. Lakini kabla ya kusambaza au kuimini taarifa yoyote mtandaoni ni vyema kujiuliza maswali muhimu ambayo yanaweza kukusaidia kubaini ukweli katika taarifa hizo na kupunguza wimbi la kusambaza taarifa […]

Election Coverage · August 6, 2025

Wawili kati ya 11 waliotimkia CCM kutoka Chadema watoboa kura za maoni 2025

Kati ya 11 ni wawili tu waliotoboa kwenye hatua ya kura za maoni, huku wengine wakishindwa kufua dafu mbele ya washindani wao waliopata kura nyingi zaidi.

Election Coverage · August 6, 2025

ACT Wazalendo yampendekeza Luhaga Mpina kuwania Urais wa Tanzania 2025

Dar es Salaam. Halmashauri Kuu ya Chama cha ACT Wazalendo imempendekeza Luhaga Mpina pamoja na Aaron Kalikawe kuwa wagombea wa Urais wa Tanzania kupitia tiketi ya chama hicho katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu. Uamuzi huo umetangazwa ikiwa imepita siku moja tu baada ya Mpina ambaye alikuwa Mbunge wa Jimbo la Kisesa na Waziri […]

Follow Us on TikTok

Subscribe to Our YouTube Channel

Subscribe

Loading videos...

Loading videos...

Loading videos...

Enable Notifications OK No thanks