Ripoti Maalum

Ripoti Maalum · January 7, 2026 1:39 pm

Jinsi matapeli wanavyopora mamilioni ya Watanzania mtandaoni – 3

Sehemu kubwa ya watu walionunua bidhaa mtandaoni wametapeliwa kwa mfumo wa utapeli unaofanana licha ya kutapeliwa na matapeli tofauti na waliopo mikoa tofauti.

Ripoti Maalum · January 6, 2026 1:35 pm

Matapeli wanavyopora mamilioni ya Watanzania mtandaoni – 2

Leo katika sehemu hii ya pili tunaendelea kubainisha akaunti na mbinu zinazotumika kutapeli watu wanaotaka kununua bidhaa mtandaoni.

Ripoti Maalum · January 5, 2026 3:43 pm

Jinsi matapeli wanavyopora mamilioni ya Watanzania mtandaoni

Uchunguzi wetu wabaini baadhi ya matapei hubadili majina ya akaunti zao za mitandao ya kijamii hadi zaidi ya mara 10.

Ripoti Maalum · October 24, 2025 12:22 pm

How Bahi’s Sh100 million bus stand became a useless investment

Instead, its remote location has rendered it useless. Travelers and businesses have returned to the unregulated Sokoni bus stop.

Ripoti Maalum · October 15, 2025 9:38 am

Namna ya kuishi na mtoto mwenye Sikoseli

Katika sehemu ya kwanza na ya pili ya series wa makala haya tuliangaza visababishi vya sikoseli, dalili na namna mashujaa wa sikoseli wanavyoishi.

Ripoti Maalum · October 14, 2025 10:45 am

Simulizi ya mashujaa wa sikoseli Tanzania

Licha ya kupitia changamoto za kila siku katika maisha yao bado wanandoto za kuwa na familia na watoto ambao hawana vinasaba vya sikoseli.

Ripoti Maalum · October 13, 2025 11:36 am

Tunachokijua kuhusu ugonjwa wa sikoseli Tanzania

Watoto takribani 14,000 huzaliwa na ugonjwa huo na watu 15 kati ya kila 100 nchini wana vinasaba vya sikoseli hali inayotishia mustakabali wa afya.

Ripoti Maalum · October 8, 2025 11:41 am

Mikoa mitano inayoongoza kwa ukatili wa kijinsia dhidi ya wanaume Tanzania 

Kati ya manusura hao, wanaume ni 4,472 sawa na asilimia 22.6 au karibu robo ya manusura wote walioripotiwa katika kipindi hicho cha miezi 10. 

Ripoti Maalum · August 20, 2025 5:21 pm

AI: jinamizi lingine elimu ya juu Tanzania?

“Tutapata wapi tafiti mpya kama mwanafunzi ametumia AI kuandika tafiti,” amehoji Dk. Amin ambaye hakubaliani na matumizi makubwa wa AI.

Ripoti Maalum · July 22, 2025 2:52 pm

Why are trade and service marks essential for startup success in Tanzania?

They protect a company’s brand identity and differentiate its products in the marketplace.

Ripoti Maalum · July 15, 2025 12:14 pm

Gharama ya ukimya: Ukosefu wa taarifa unavyohatarisha maisha ya wenye uziwi Tanzania

Dar es Salaam. Joel Amiri alishangazwa na mabadiliko ya ghafla ya tabia za watu waliomzunguka mwanzoni mwa mwaka 2020 akiwa nyumbani kwao mkoani Tabora.  Alianza kuona majirani zake na wanafamilia wakiwa wamevaa barakoa na kila alipojaribu kuwasogelea karibu,  walimuonesha ishara ya kumtaka akae mbali nao. Wakati yeye akishangaa mabadiliko hayo ya ghafla, wanajamii nao walimshangaa […]

Ripoti Maalum · July 2, 2025 5:32 pm

 Sababu, madhara wanandoa kuchepuka

Kuchepuka katika ndoa si tu jambo la faragha kati ya wanandoa wawili, bali ni changamoto ya kijamii inayobeba athari kubwa kwa familia na taifa kwa ujumla.

Ripoti Maalum · June 27, 2025 12:02 pm

Fahamu ugonjwa wa shinikizo la damu unaowatesa wengi

Takriban mtu mmoja kati ya watu wazima watatu duniani ana shinikizo la damu, huku viwango vikiwa juu zaidi kwa wanaume walio chini ya miaka 50.

Burudani · May 27, 2025 8:07 am

Copyright reform in Tanzania: Urgency in the age of artificial intelligence

Tanzania’s Copyright and Neighbouring Rights Act, it only recognizes works made by human beings.

Biashara · April 17, 2025 4:02 pm

Mikopo bila maarifa: Mtego unaokwamisha maendeleo wanawake, vijana

Katika harakati za kupambana na umasikini na kujikwamua kiuchumi, mikopo imekuwa moja ya silaha inayotegemewa na makundi mbalimbali hususan wanawake na vijana. 

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: RAIS SAMIA KWENYE MAHAFALI YA MAAFISA NA WAKAGUZI WASAIDIZI WA POLISI

🔴LIVE: RAIS SAMIA KWENYE MAHAFALI YA MAAFISA NA WAKAGUZI WASAIDIZI WA POLISI

Nukta TV

MFAHAMU SUZANA MUSSA, MAMA MZAZI WA HAYATI MAGUFULI

MFAHAMU SUZANA MUSSA, MAMA MZAZI WA HAYATI MAGUFULI

Nukta TV

🔴LIVE: KOMBO AKIWASILISHA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NJE BUNGENI 2026/2027

🔴LIVE: KOMBO AKIWASILISHA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NJE BUNGENI 2026/2027

Nukta TV