Jiko Point
All
Afya Na Maisha
Biashara
Mapishi
Matukio
Maujanja
Nishati Safi
Vinywaji

Biashara · May 22, 2026 5:47 pm

Bidhaa za chakula zapaisha mapato ya biashara ya Tanzania na EAC kwa asilimia 8.9

(EAC) imepaa kwa asilimia 8.9 ndani ya mwaka mmoja ikichangiwa na kuboreshwa kwa mazingira ya biashara nchini.

Matukio · May 15, 2026 1:11 pm

Tanzania yakusanya Sh142 bilioni, mauzo ya nyama nje ya nchi yakipaa 

Ongezeko hilo ni matokeo ya kuongezeka kwa ushirikiano na mahusiano ya kidiplomasia nje ya nchi.

Mapishi · May 3, 2026 12:40 pm

Jinsi ya Kupika Wali wa Karoti

Wali ni miongoni mwa vyakkula maarufu vinavyopikwa mara kwa mara katika nyumba nyingi nchini Tanzania. Umaarufu wa chakula hicho huonekana zaidi katika matukio muhimu ikiwemo sherehe, ambapo hupikwa wa aina mbalimbali ili kuvutia wageni. Licha ya umaarufu wake, mapishi ya aina moja ya chakula hiki huchosha walaji hivyo unaweza ukatumia karoti kuongeza ladha na ubunifu […]

Matukio · April 21, 2026 4:00 pm

Serikali yaweka mikakati kuwainua mama, baba lishe Tanzania

Kaulimbiu ya kongamano hilo ni Shiriki kulinda amani na mshikamano wa taifa, amani ni hazina yetu, mama na baba lishe.

Biashara · March 26, 2026 7:38 pm

Meli za mafuta ya ndani kupewa kipaumbele Tanzania

Hatua hiyo imelenga kuharakisha uingizaji wa mafuta ya petroli katika soko la ndani kupunguza presha ya uhaba wa nishati hiyo.

Nishati safi · March 21, 2026 7:16 am

Unavyoweza kurahisisha mapishi kwa kutumia nishati safi wakati wa sikukuu

Nishati safi inakupunguzia muda wa kukaa jikoni pamoja na kukupa uwezo wa kupika mapishi mengi.

Mapishi · March 20, 2026 6:42 pm

Jinsi ya kupika pilau ya nazi tamu kwa sikukuu ya Eid

Pishi hili ni mbadala wa aina nyingine za pilau zilizozoeleka ambazo hupikwa mara kwa mara katika matukio muhimu.

Afya na Maisha · March 17, 2026 9:34 am

Vyakula vya kuepuka kujilinda na ugonjwa wa figo

Figo hufanya kazi ya kusafisha damu na kudhibiti maji na madini mwilini, na ulaji wa vyakula visivyofaa unaweza kuathiri utendaji kazi wake.

Biashara · March 4, 2026 9:19 am

Kuzimwa kwa intaneti kunavyoathiri maisha ya Watanzania

Husababisha kusimama kwa shughuli za kiuchumi, kuvuruga mawasiliano, hasara ya kifedha na huathiri elimu na huduma za afya.

Nishati safi · February 18, 2026 5:27 pm

Sh25.8 bilioni kusambaza nishati safi ya kupikia taasisi 453 Tanzania Bara

Makamba atoa wito kwa sekta binafsi katika kuzalisha na kusambaza wa nishati safi ya kupikia ili kuongeza upatikanaji na kupunguza gharama.

Biashara · February 16, 2026 6:19 pm

Sababu baadhi ya bidhaa za chakula kutengwa Soko Kuu la Kariakoo

Wafanyabiashara hao wametoa malalamiko ikiwa ni takribani miaka mitano tangu soko hilo liteketee kwa moto Julai 11, 2021.

Nishati safi · January 6, 2026 2:59 pm

Kwa nini jiko la gesi ni chaguo bora kwa mama lishe Tanzania?

Baadhi ya mama lishe wanadai kuwa vipato vyao ni vidogo kuwawezesha kununua majiko na gesi huku wengine wakikosa elimu sahihi ya faida za nishati hiyo. 

Nishati safi · January 2, 2026 5:23 pm

Jinsi ya kujikinga na madhara ya matumizi yasio sahihi ya gesi ya kupikia nyumbani

Ni pamoja na kuwa karibu na gesi wakati wa kupika na kuitumia sehemu yenye hewa kubwa.

Biashara · December 26, 2025 8:57 am

‘Pressure cooker’: Zawadi bora ya msimu wa sikukuu kwa familia

Ikiwa unatafuta zawadi ya maana kwa krismasi au mwaka mpya jikopoint tunakupa chaguo ambalo unaweza kuwafurahisha wapendwa wako.

Vinywaji · December 24, 2025 5:23 pm

Vinywaji vitano vya bei nafuu vya kutengeneza msimu huu wa sikukuu

Juisi hizi zinaweza kukusaidia kubana bajeti ya vinywaji msimu huu wa sikukuu

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Nukta Africa yang’ara tuzo za EJAT 2025, yanyakua tuzo nne

Nukta Africa yang’ara tuzo za EJAT 2025, yanyakua tuzo nne

Nukta TV

Matumizi mabaya ya madaraka bado changamoto Utumishi wa umma

Matumizi mabaya ya madaraka bado changamoto Utumishi wa umma

Nukta TV

Ridhiwani Kikwete achukizwa na tabia hii ya baadhi ya Maofisa Rasilimali Watu.

Ridhiwani Kikwete achukizwa na tabia hii ya baadhi ya Maofisa Rasilimali Watu.

Nukta TV