Ruvuma,Iringa kicheko bei ya Mahindi
October 21, 2024 6:39 pm ·
Fatuma Hussein
Dar es Salaam. Kununua gunia la mahindi la kilo 100 mkoani Ruvuma na Iringa itakulazimu kulipia Sh48,000 ambayo ni mara 20 zaidi ya bei ya juu iliyorekodiwa mkoani Dar es Salaam, Kilimanjaro na Pwani ya Sh100,000 kwa gunia la kilo 100.
Wakati mikoa hiyo ikifurahia bei hiyo, mkoani Lindi bei ya ngano bado ni maumivu baada ya kurekodiwa kuuzwa kwa Sh400,000 kwa gunia la kilo 100 ambayo ni mara 5 zaidi ya ile iliyorekodiwa mkoani Rukwa ya Sh70,000.

Latest

2 days ago
·
Fatuma Hussein
WHO: Watu zaidi ya milioni 300 duniani wanahitaji msaada wa afya ya akili

3 days ago
·
Lucy Samson
Wizara ya Elimu yatangaza ufadhili wa masomo Russia

3 days ago
·
Fatuma Hussein
Marekani yaiwekea Tanzania masharti dhamana ya viza

3 days ago
·
Lucy Samson
Habari za uzushi zinavyoweza kuathiri uchaguzi wa kidemokrasia