Walimu wanavyoweza kusaidia wanafunzi kuchukua tahadhari dhidi ya Corona

February 6, 2021 9:15 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni kwa kutunga nyimbo za kuelimisha juu ya Corona pamoja na kuwa mfano wa kuigwa.

Dar es Salaam. Viongozi mbalimbali na mashirika ya kiafya yameendelea kuwaasa watu kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Corona kwa kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni, kutumia vitakasa mikono na kuvaa barakoa.

Hata hivyo, huenda ikawa ni ngumu kwa baadhi ya wanafunzi hasa ambao bado ni wadogo kuendana na kasi ya mabadiliko yanayofanyika dhidi ya ugonjwa wa corona.

Yafuatayo ni kati ya mambo ambayo walimu wanaweza kuyafanya ili kuwasaidia wanafunzi hasa wadogo kujikinga na ugonjwa huo wa homa ya mapafu.

                            

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
18 Aug, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
18 Aug, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Nukta TV

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Nukta TV

Rais Samia awataka wananchi wa Kizimkazi kutunza miundombinu ya maji

Rais Samia awataka wananchi wa Kizimkazi kutunza miundombinu ya maji

Nukta TV