Ufanye nini unapoona dalili za Corona kwa mwanafamilia?

March 26, 2021 3:04 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Inashauriwa kumpatia chumba cha pekee yake huku wanafamilia wengine wakichukua tahadhari.

Dar es Salaam. Kutokana na baadhi ya shughuli za kijamii kuendelea, huenda baadhi ya wanafamilia wamekuwa wakichangama na mara kadhaa na watu wengine huku wakati mwingine wakisahau kuchukua tahadhari.

Kuchangamana huko kunaweza kutokea kazini, shuleni, maeneo ya  ibada na hata sehemu za starehe na endapo tahadhari stahiki haichukuliwi ipasavyo, kunakuwa na uwezekano wa mtu kupata maambukizi ya ugonjwa wa Corona.

Endapo hali hiyo itatokea kwa mmoja ya mwanafamilia nyumbani kuna hatua muhimu za kuchukua ili kuhakikisha anahudumiwa vyema na kupunguza hatari ya kuwaambukiza wengine. Tazama video hii kufahamu nini cha kufanya ili kujikinga na maambukizi.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
27 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
28 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
28 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Hizi ndio passport 5 zenye nguvu zaidi duniani

Hizi ndio passport 5 zenye nguvu zaidi duniani

Nukta TV

Hii ndio spirulina: Hazina ya maji inayoboresha afya za Watanzania

Hii ndio spirulina: Hazina ya maji inayoboresha afya za Watanzania

Nukta TV

Mradi wa Sh4.6 bilioni kutoa ahueni ya umeme Lindi, Mtwara

Mradi wa Sh4.6 bilioni kutoa ahueni ya umeme Lindi, Mtwara

Nukta TV