Ufanye nini unapoona dalili za Corona kwa mwanafamilia?

March 26, 2021 3:04 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Inashauriwa kumpatia chumba cha pekee yake huku wanafamilia wengine wakichukua tahadhari.

Dar es Salaam. Kutokana na baadhi ya shughuli za kijamii kuendelea, huenda baadhi ya wanafamilia wamekuwa wakichangama na mara kadhaa na watu wengine huku wakati mwingine wakisahau kuchukua tahadhari.

Kuchangamana huko kunaweza kutokea kazini, shuleni, maeneo ya  ibada na hata sehemu za starehe na endapo tahadhari stahiki haichukuliwi ipasavyo, kunakuwa na uwezekano wa mtu kupata maambukizi ya ugonjwa wa Corona.

Endapo hali hiyo itatokea kwa mmoja ya mwanafamilia nyumbani kuna hatua muhimu za kuchukua ili kuhakikisha anahudumiwa vyema na kupunguza hatari ya kuwaambukiza wengine. Tazama video hii kufahamu nini cha kufanya ili kujikinga na maambukizi.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Nukta TV

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

Nukta TV

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV