Ufanye nini unapoona dalili za Corona kwa mwanafamilia?

March 26, 2021 3:04 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Inashauriwa kumpatia chumba cha pekee yake huku wanafamilia wengine wakichukua tahadhari.

Dar es Salaam. Kutokana na baadhi ya shughuli za kijamii kuendelea, huenda baadhi ya wanafamilia wamekuwa wakichangama na mara kadhaa na watu wengine huku wakati mwingine wakisahau kuchukua tahadhari.

Kuchangamana huko kunaweza kutokea kazini, shuleni, maeneo ya  ibada na hata sehemu za starehe na endapo tahadhari stahiki haichukuliwi ipasavyo, kunakuwa na uwezekano wa mtu kupata maambukizi ya ugonjwa wa Corona.

Endapo hali hiyo itatokea kwa mmoja ya mwanafamilia nyumbani kuna hatua muhimu za kuchukua ili kuhakikisha anahudumiwa vyema na kupunguza hatari ya kuwaambukiza wengine. Tazama video hii kufahamu nini cha kufanya ili kujikinga na maambukizi.

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Wabunge waliokwenda Morocco bila kibali kikaangoni , utoro ukiibuliwa bungeni

Wabunge waliokwenda Morocco bila kibali kikaangoni , utoro ukiibuliwa bungeni

Nukta TV

Mfahamu Leonard Mususa Alama ya Ungozi iliyoacha majonzi kwa 'MACEOs' Tanzania

Mfahamu Leonard Mususa Alama ya Ungozi iliyoacha majonzi kwa 'MACEOs' Tanzania

Nukta TV

Bei za mafuta mwezi Juni hizi hapa, dizeli ikipaa kwa Sh85

Bei za mafuta mwezi Juni hizi hapa, dizeli ikipaa kwa Sh85

Nukta TV