Zaidi ya wananchi 100,000 wapata chanjo ya Corona Tanzania
August 9, 2021 11:17 am ยท
Mwandishi
Dar es Salaam. Serikali imesema zoezi la uchanjaji wa chanjo ya Corona aina ya Johnson & Johnson kwaa makundi ya walengwa (watumishi wa afya, watu wenye umri wa miaka zaidi ya 50 na wagonjwa) linaeendelea vizuri.
Hadi kufikia Agosti 7, 2021 watu zaidi 164,500 walikuwa wameshajiandikisha (booking) kwa ajili ya kupatiwa chanjo huku wengine 105,745 wakiwa tayari wameshapatiwa chanjo kufikia tarehe hiyo.

Latest
6 days ago
ยท
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
1 week ago
ยท
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
1 week ago
ยท
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
1 week ago
ยท
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa harakaย