Hatari ya aina mpya ya kirusi cha Uviko-19

November 6, 2021 7:41 am · Herimina
Share
Tweet
Copy Link
  • Kinasamba kwa kasi ya asilimia 30 mpaka 60.
  • Wataalam wa afya washauri watu kuendelea kuchukua tahadhari.

Dar es Salaam. Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), kirusi kipya aina ya Delta cha Uviko-19 ni hatari zaidi kwa maisha ya watu kutokana na uwezo wa kujinyumbulisha na kuzambaza maambukizi.

linasambaa kwa kasi kubwa ikilinganishwa na virusi vingine kwenye wimbi la kwanza na la pili barani Afrika, limesema Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ulimwenguni WHO.

Kirusi hicho ambacho kiko katika wimbi la tatu la janga la corona ni kibaya zaidi ikilinganishwa wakati wa mlipuko wa kwanza na wa pili kwani kasi yake ya kusambaa ni zaidi ya asilimia 30 mpaka 60.

Ufanye nini kujikinga na Uviko-19? Pata chanjo na chukua tahadhari hizi?

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
25 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
25 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Zungu: Kura zimepigwa , pesa ya Serikali imeruhusiwa kuanza sasa kuitumia

Zungu: Kura zimepigwa , pesa ya Serikali imeruhusiwa kuanza sasa kuitumia

Nukta TV

Bunge la Tanzania lapitisha ya Serikali kwa 97%

Bunge la Tanzania lapitisha ya Serikali kwa 97%

Nukta TV

Hawa hapa wabunge waliopiga kura ya hapana, kupitisha Bajeti ya Serikali

Hawa hapa wabunge waliopiga kura ya hapana, kupitisha Bajeti ya Serikali

Nukta TV