Ni sahihi wajawazito kupata chanjo ya Uviko-19?
December 20, 2021 4:28 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Ni sahihi wajawazito kupata chanjo ya Uviko-19?
Kwa mujibu wa Afisa wa Chanjo kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) kanda ya Afrika, Dk Phionah Atuhebwe, wanawake wajawazito wanaruhusiwa kupata chanjo ya Uviko-19 kwa sababu ni salama na inawahakikishia ulinzi dhidi ya ugonjwa huo.
Mazingira gani yanaruhusu wajawazito kupata chanjo?

Latest
6 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
1 week ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka
