Namna ya kuwasaidia ndugu, marafiki wanaopuuzia tahadhari dhidi ya Uviko-19
December 22, 2021 4:56 am ·
Herimina
Dar es Salaam. Wakati huu wa Uviko-19 ni  muhimu kuhimiza ndugu, jamaa na marafiki ambao wanapuuza kanuni za kujikinga na ugonjwa huo.
Moja ya vitu vya kuhamasisha ni uvaaji wa barakoa ambao kwa sasa umekuwa ukipuuzwa na watu wengi, hivyo kuweka hatari ya kuambukizana ugonjwa huo.
Hata hivyo, ni muhimu kuhakikisha kuwa unakuwa mfano wa kuigwa kwa kutekeleza kwa vitendo yale ambayo unahimiza wengine wayafanye ikiwemo kwenda kuchanja kinga ya Uviko-19 pamoja na kunawa mikono kwa sabuni na maji tiririka kila wakati.

Latest
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Vodacom Tanzania yamwaga Sh70 bilioni kuboresha M-Pesa
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
BoT yabakiza riba ya benki kuu 5.75% licha ya vita Mashariki ya Kati
1 week ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
2 weeks ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026