Namna ya kuwasaidia ndugu, marafiki wanaopuuzia tahadhari dhidi ya Uviko-19

December 22, 2021 4:56 am · Herimina
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Wakati huu wa Uviko-19 ni  muhimu kuhimiza ndugu, jamaa na marafiki ambao wanapuuza kanuni za kujikinga na ugonjwa huo.

Moja ya vitu vya kuhamasisha ni uvaaji wa barakoa ambao kwa sasa umekuwa ukipuuzwa na watu wengi, hivyo kuweka hatari ya kuambukizana ugonjwa huo.

Hata hivyo, ni muhimu kuhakikisha kuwa unakuwa mfano wa kuigwa kwa kutekeleza kwa vitendo yale ambayo unahimiza wengine wayafanye ikiwemo kwenda kuchanja kinga ya Uviko-19 pamoja na kunawa mikono kwa sabuni na maji tiririka kila wakati.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Nukta TV

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

Nukta TV

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV