Infografia: Wananchi wanavyoweza kudhibiti matumizi mabaya ya rasilimali za umma.

February 9, 2022 8:13 am · Herimina
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Wananchi wanaweza kushiriki kusimamia na kudhibiti matumizi ya rasilimali za umma katika ngazi ya kijiji ikiwa watashiriki kikamilifu katika kufanya maamuzi sahihi yanayohusu maendeleo katika maeneo yao.

Pia wanatakiwa kuhoji utendaji wa viongozi wao na kuhamasisha uwazi wa taarifa za mapato na matumizi ya rasilimali za kijiji au mtaa.

/
No matches found for this filter
30 May, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
30 May, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
30 May, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
AKILI UNDE INAVYOIMARISHA HUDUMA ZA AFYA YA KINYWA NA MENO

AKILI UNDE INAVYOIMARISHA HUDUMA ZA AFYA YA KINYWA NA MENO

Nukta TV

WAFAHAMU 'THE BIG FIVE' WA AFRIKA

WAFAHAMU 'THE BIG FIVE' WA AFRIKA

Nukta TV

HIVI NDIVYO UNAWEZA KUSAFISHA MENO YAKO

HIVI NDIVYO UNAWEZA KUSAFISHA MENO YAKO

Nukta TV