Infografia: Wananchi wanavyoweza kudhibiti matumizi mabaya ya rasilimali za umma.
February 9, 2022 8:13 am ·
Herimina
Dar es Salaam. Wananchi wanaweza kushiriki kusimamia na kudhibiti matumizi ya rasilimali za umma katika ngazi ya kijiji ikiwa watashiriki kikamilifu katika kufanya maamuzi sahihi yanayohusu maendeleo katika maeneo yao.
Pia wanatakiwa kuhoji utendaji wa viongozi wao na kuhamasisha uwazi wa taarifa za mapato na matumizi ya rasilimali za kijiji au mtaa.

Similar News
ai.nukta.co.tz/discover →
/
30 May, 2026 · TZS
Masoko
ai.nukta.co.tz/finance →
30 May, 2026 · TZS
Market Movers
ai.nukta.co.tz/finance →30 May, 2026