Hali halisi ya walimu shule za msingi Pangani

April 12, 2022 7:22 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Licha ya baadhi ya shule za msingi katika Wilaya ya Pangani mkoani Tanga kukabiliwa na uhaba wa walimu bado wilaya hiyo ina uwiano mzuri wa walimu kwa wanafunzi.

Kwa mujibu wa takwimu Muhimu za Elimu (BEST 2021) zilizotolewa na Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), mwalimu mmoja mwenye sifa wilayani humo anafundisha wanafunzi 51 kiwango ambacho ni juu ya uwiano wa kitaifa wa mwalimu mmoja kwa wanafunzi 45.

Uwepo wa walimu wa kutosha shuleni unasaidia wanafunzi kupata maarifa na ujuzi kwa wakati.

 

/
No matches found for this filter
30 May, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
30 May, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
30 May, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
AKILI UNDE INAVYOIMARISHA HUDUMA ZA AFYA YA KINYWA NA MENO

AKILI UNDE INAVYOIMARISHA HUDUMA ZA AFYA YA KINYWA NA MENO

Nukta TV

WAFAHAMU 'THE BIG FIVE' WA AFRIKA

WAFAHAMU 'THE BIG FIVE' WA AFRIKA

Nukta TV

HIVI NDIVYO UNAWEZA KUSAFISHA MENO YAKO

HIVI NDIVYO UNAWEZA KUSAFISHA MENO YAKO

Nukta TV