Walimu bado changamoto shule za msingi Maswa

March 18, 2022 1:17 pm · Herimina
Share
Tweet
Copy Link
  • Mwalimu mmoja anafundisha takriban wanafunzi 71 katika shule za msingi.

Dar es Salaam. Changamoto ya idadi ndogo ya walimu wa shule ya msingi, imeendelea kuitesa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa iliyopo Mkoani Simiyu.

Kwa mujibu wa Ripoti ya Takwimu Muhimu za Elimu (2021) zilizotolewa na Ofisi ya Rais Tamisemi, wilaya hiyo yenye wanafunzi wa shule za msingi 83,898, ina walimu 1,189 pekee, hali inayosababisha mwalimu mmoja kufundisha wanafunzi 71, kiwango ambacho ni juu ya uwiano wa Kitaifa wa mwalimu mmoja kwa wanafunzi 45.

Changamoto inaongezeka zaidi kwa walimu wa kike ambao wapo 470 sawa na asilimia 39.5 ya walimu wote wa shule za msingi wilayani humo.

Hali hiyo inasababisha wanafunzi wa kike ambao wameanza kupata hedhi kushindwa kupata msaada wa karibu wawapo shuleni.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: LIVE:WABUNGE WAKIWACHAPA MASWALI MAWAZIRI | Bunge la 13 | Kikao cha 28

🔴LIVE: LIVE:WABUNGE WAKIWACHAPA MASWALI MAWAZIRI | Bunge la 13 | Kikao cha 28

Nukta TV

Top 10 ya magari yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta

Top 10 ya magari yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta

Nukta TV

SGR yaingizia Serikali Sh169.37 bilioni tangu kuanza kwa safari Juni 2024

SGR yaingizia Serikali Sh169.37 bilioni tangu kuanza kwa safari Juni 2024

Nukta TV