Walimu bado changamoto shule za msingi Maswa

March 18, 2022 1:17 pm · Herimina
Share
Tweet
Copy Link
  • Mwalimu mmoja anafundisha takriban wanafunzi 71 katika shule za msingi.

Dar es Salaam. Changamoto ya idadi ndogo ya walimu wa shule ya msingi, imeendelea kuitesa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa iliyopo Mkoani Simiyu.

Kwa mujibu wa Ripoti ya Takwimu Muhimu za Elimu (2021) zilizotolewa na Ofisi ya Rais Tamisemi, wilaya hiyo yenye wanafunzi wa shule za msingi 83,898, ina walimu 1,189 pekee, hali inayosababisha mwalimu mmoja kufundisha wanafunzi 71, kiwango ambacho ni juu ya uwiano wa Kitaifa wa mwalimu mmoja kwa wanafunzi 45.

Changamoto inaongezeka zaidi kwa walimu wa kike ambao wapo 470 sawa na asilimia 39.5 ya walimu wote wa shule za msingi wilayani humo.

Hali hiyo inasababisha wanafunzi wa kike ambao wameanza kupata hedhi kushindwa kupata msaada wa karibu wawapo shuleni.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

Nukta TV

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Nukta TV

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

Nukta TV

BENEFIT FROM
Nukta ADS
Advertise with us to reach a wider audience with high conversion rates.
Other Nukta Africa Products
Nukta Habari
Stories that matter
Topics
Inuldge yourself with the topics in Nukta
All
Business
Africa
Contact
Tel
+255 750 881 888
Mail
newsroom@nukta.co.tz
Address
Mwananyamala kwa Kopa Dabe House Dar es Salaam TZ, 14108
Social Media

© 2024 Nukta Africa. All Rights Reserved.