Nini kinafuata baada ya kifo cha Malkia Elizabeth II

September 9, 2022 1:50 pm · Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Baada ya Malkia Elizabeth wa pili wa Uingereza kufariki dunia jana Septemba 8, 2022, mtoto mkubwa Mwanamfalme Charles amechukua nafasi yake na kuwa mfalme mpya wa familia ya kifalme ya Taifa hilo la Ulaya.

Malkia Elizabeth wa pili amehudumu katika nafasi hiyo tangu mwaka 1952. kwa sasa Mfalme Charles atasimamia shughuli zote za mazishi ya mama yake na kutangaza siku za mapumziko ya kitaifa kwa familia ya kifalme.

Baada ya Mfalme Charles nani atafuata katika utawala huo?

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
25 May, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
25 May, 2026
No active movers today
Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MIKOA 5 YA KIPOLISI INAYOONGOZA KWA MAKOSA BARABARANI

MIKOA 5 YA KIPOLISI INAYOONGOZA KWA MAKOSA BARABARANI

Nukta TV

SERIKALI YAKAMILISHA MAZUNGUMZO MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA

SERIKALI YAKAMILISHA MAZUNGUMZO MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA

Nukta TV

🔴LIVE: KAPINGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA 2026/2027 BUNGENI.

🔴LIVE: KAPINGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA 2026/2027 BUNGENI.

Nukta TV