Fanya haya kuimarisha afya wakati wa Uviko-19
September 24, 2022 10:01 am ·
Mwandishi
- Ni pamoja na kula mlo kamili na kufanya mazoezi.
Dar es Salaam. Kuwa na afya njema ni kitu muhimu hasa kwa wakati huu ambapo ulimwengu upo katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa Uviko- 19 unaoendelea kuleta athari za kiafya, vifo na hata kiuchumi.
Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) linaeleza kuwa ili mtu awe afya njema wakati huu ni pamoja kula mlo kamili na kufanya mazoezi.

Similar News
ai.nukta.co.tz/discover →
/
Masoko
ai.nukta.co.tz/finance →
25 May, 2026 · TZS
Market Movers
ai.nukta.co.tz/finance →25 May, 2026