Matokeo darasa la saba mwaka 2022 haya hapa
December 1, 2022 7:12 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la saba mwaka 2022.
Matokeo hayo yametangazwa leo Desemba 1, 2022 na tayari yameshapakiwa katika tovuti ya baraza hilo www.necta.go.tz.
Mtihani wa darasa la saba ni hatua muhimu katika safari ya elimu ya sekondari na hatimaye elimu ya juu nchini.
Tutakuletea undani wa matokeo yote hayo hivi punde yaliyochambuliwa kwa kina zikiwemo shule 10 bora na wanafunzi waliotikisa mwaka huu.
Latest

35 minutes ago
·
Fatuma Hussein
Wabunge walia bajeti ya kilimo, wakitaka mageuzi

2 hours ago
·
Esau Ng'umbi
Lissu kujitetea mahakamani, kesi ikipigwa kalenda

7 hours ago
·
Fatuma Hussein
Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni Juni 16, 2025

2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Namna Tanzania inavyotaka kulinda viwanda vya ndani bajeti 2025/26