Necta yatangaza matokeo ya darasa la saba 2023.
November 23, 2023 7:44 am ·
admin
Dar es Salaam. Baraza la mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la saba 2023 ambapo jumla ya watahiniwa milioni 1.3 wamefaulu kwa kupata madaraja a, b, na c.
Katibu Mtendaji wa NECTA Dk. Said Mohamed aliyekuwa akitangaza matokeo hayo leo Novemba 23, 2023 amewaambia wanahabari kuwa asilimia 76 ya waliofaulu wamepata daraja b na c.
“Ufaulu umeongezeka kidogo kwa asilimia 0.96 na kufikia asilimia 80.6,” amesema Dk. Mohamed
Bofya hapa kutizama matokeo ya darasa la saba 2023
Latest

17 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Wafanyabiashara wadogo kujumuishwa ukusanyaji wa maoni Mkumbi II

1 day ago
·
Fatuma Hussein
Rais Samia aomboleza kifo cha Rais Lungu

1 day ago
·
Fatuma Hussein
Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni Juni 6, 2025

2 days ago
·
Fatuma Hussein
Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni Juni 5, 2025