Necta yatangaza matokeo ya darasa la saba 2023.

November 23, 2023 7:44 am · admin
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Baraza la mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la saba 2023 ambapo jumla ya watahiniwa milioni 1.3 wamefaulu kwa kupata madaraja a, b, na c.

Katibu Mtendaji wa NECTA Dk. Said Mohamed aliyekuwa akitangaza matokeo hayo leo Novemba 23, 2023 amewaambia wanahabari kuwa asilimia 76 ya waliofaulu wamepata daraja b na c.

“Ufaulu umeongezeka kidogo kwa asilimia 0.96 na kufikia asilimia 80.6,” amesema Dk. Mohamed

Bofya hapa kutizama matokeo ya darasa la saba 2023


Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
15 Jun, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
15 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
15 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwenendo wa deni la serikali

Mwenendo wa deni la serikali

Nukta TV

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Nukta TV

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Nukta TV