Matokeo ya darasa la saba 2024 haya hapa
October 29, 2024 2:57 pm ·
Lucy Samson
Arusha. Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) leo Oktoba 29, 2024 limetangaza matokeo ya mtihani ya darasa la saba kwa mwaka 2024 huku ufaulu wa jumla ukiongezeka kwa asilimia 0.29 kulinganisha na mwaka 2023.
Latest

1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Mikopo bila maarifa: Mtego unaokwamisha maendeleo wanawake, vijana

1 day ago
·
Esau Ng'umbi
Tanzania kujibu mapigo Malawi, Afrika Kusini kuzuia mazao kuingia nchini kwao

1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Aprili 17, 2025

2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Spika Tulia ataka majibu ya Serikali tuhuma matumizi mabaya ya fedha Arusha.