Nchi 10 zilizoongoza kuleta watalii wengi Tanzania mwaka 2022
March 27, 2023 1:38 pm ·
Daniel Samson

Dar es Salaam. Kwa mujibu wa takwimu za Ofisi ya Taifa ya Takwimu za mwaka (High Frequency Data), idadi ya watalii walioingia nchini mwaka 2022 ilikuwa 1.45 milioni ikiongezeka kutoka 922,692 iliyorekodiwa mwaka juzi.
NBS imeeleza kuwa mwaka jana, Kenya ndiyo iliongoza kuingiza watalii wengi zaidi nchini ikifuatiwa na Burundi, Marekani na Ufaransa.
Latest
10 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Fursa, vituo vya CNG vikiongezeka Tanzania
20 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Februari 10,2026
1 day ago
·
Fatuma Hussein
Ushirikiano kati ya vyuo, sekta binafsi kuwapika upya wahitimu elimu ya juu
2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Musk kujenga makazi ya binadamu mwezini