Ahueni: Bei ya petroli, dizeli, mafuta ya taa zikishuka

April 8, 2023 6:52 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

  • Bei ya rejareja ya petroli imeshuka kwa Sh187 kwa lita.
  • Wakazi wa Dar es Salaam sasa watanunua lita moja kwa Sh2,781 kutoka Sh2,968 ya Machi.

Dar es Salaam.Watumiaji wa vyombo vya moto sasa watakuwa na ahueni baada ya bei za mafuta mwezi Aprili kushuka kwa kiwango kikubwa ikilinganishwa na ilivyokuwa mwezi uliopita.

Bei mpya kikomo zilizotolewa na Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura) zinabainisha kuwa bei ya rejareja ya petroli liyoingizwa kupitia Bandari ya Dar es Salaam imeshuka kwa Sh187, kwa lita huku ile ya dizeli ikipungua kwa Sh284 kwa lita na mafuta ya taa yakipungua kwa Sh169 kwa lita.

 

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Wabunge waliokwenda Morocco bila kibali kikaangoni , utoro ukiibuliwa bungeni

Wabunge waliokwenda Morocco bila kibali kikaangoni , utoro ukiibuliwa bungeni

Nukta TV

Mfahamu Leonard Mususa Alama ya Ungozi iliyoacha majonzi kwa 'MACEOs' Tanzania

Mfahamu Leonard Mususa Alama ya Ungozi iliyoacha majonzi kwa 'MACEOs' Tanzania

Nukta TV

Bei za mafuta mwezi Juni hizi hapa, dizeli ikipaa kwa Sh85

Bei za mafuta mwezi Juni hizi hapa, dizeli ikipaa kwa Sh85

Nukta TV