Unavyoweza kuchukua tahadhari dhidi ya Corona upotumia usafiri wa umma

December 21, 2021 2:22 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Muhimu ni kupata chanjo ili kuwa salama zaidi.
  • Endelea kuvaa barakoa hata ukiwa peke yako.
  • Chagua usafiri na usio na watu wengi.

Dar es Salaam. Tunapotumia usafiri wa umma, siyo rahisi kujua matatizo ya kiafya aliyonayo mtu kwa kumuangalia.

Wapo ambao wanaumwa lakini bado hawajui na kuna uwezekano mkubwa wa kuwaambukiza wengine wakati wanatumia daladala na mabasi hasa magonjwa ya yanayoambukiza kwa njia ya kugusana na hewa.

Ugonjwa wa Corona ni miongoni mwa magonjwa ambayo mtu anaweza kuambukizwa katika msongamano wa watu hasa kwa njia ya kugusana na maji maji yanayotokana na kukohoa au kupiga chafya.

Huenda ikawa ni ngumu kuchukua baadhi ya tahadhari ikiwemo kupeana nafasi ya mita moja katika baadhi ya maeneo hasa ya miji mikubwa.

Ufanye nini kuendelea kubaki salama? Tazama video hii.

                  

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Nukta TV

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

Nukta TV

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV