Necta: Matokeo kidato cha nne mwaka 2022 sasa hadharani

January 29, 2023 6:28 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) limetangaza matokeo ya kidato cha nne mwaka 2022 huku asilimia 37% tu ya watahiniwa wakifaulu kwa madaraja ya I hadi III.

Idadi hiyo ya wanafunzi waliopata madaraja hayo ya juu ya ufaulu ni sawa na watahiniwa 192,348.

Endelea kufuatilia matokeo ya kidato cha nne hapa. 

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
25 May, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
25 May, 2026
No active movers today
Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MIKOA 5 YA KIPOLISI INAYOONGOZA KWA MAKOSA BARABARANI

MIKOA 5 YA KIPOLISI INAYOONGOZA KWA MAKOSA BARABARANI

Nukta TV

SERIKALI YAKAMILISHA MAZUNGUMZO MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA

SERIKALI YAKAMILISHA MAZUNGUMZO MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA

Nukta TV

🔴LIVE: KAPINGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA 2026/2027 BUNGENI.

🔴LIVE: KAPINGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA 2026/2027 BUNGENI.

Nukta TV