5G inasambaza corona? Hapana, ni uzushi

May 6, 2020 10:13 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link
  • Virusi vya ugonjwa wa corona (COVID-19) haviwezi kusambaa kupitia mawimbi ya redio au mfumo wowote wa mawasiliano ya simu.

Dar es Salaam. Kumekuwa na habari zinasambaa kwa kasi mtandaoni kuwa teknolojia mpya ya mawasiliano ya 5G inasambaza virusi vya corona, hata hivyo, taarifa hizo hazina ukweli wowote kisayansi.

Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) virusi vya ugonjwa wa corona (COVID-19) haviwezi kusambaa kupitia mawimbi ya redio au mfumo wowote wa mawasiliano ya simu.

Ikumbukwe ugonjwa huo unasambaa kwa kasi hata kwenye mataifa ambayo hayana teknolojia hiyo ya 5G.

“COVID-19 inasambazwa kupitia majimaji ya mtu anapopiga chafya, kukohoa au kuzungumza. Watu wanaweza pia kuambukizwa virusi hivyo kwa kugusa maeneo yenye virusi halafu baadaye wakagusa pua, macho na midomo yao,” WHO inaeleza.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
PART 2: Yafahamu magari 10 yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta.

PART 2: Yafahamu magari 10 yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta.

Nukta TV

🔴LIVE: LIVE:WABUNGE WAKIWACHAPA MASWALI MAWAZIRI | Bunge la 13 | Kikao cha 28

🔴LIVE: LIVE:WABUNGE WAKIWACHAPA MASWALI MAWAZIRI | Bunge la 13 | Kikao cha 28

Nukta TV

PART 1: Yafahamu magari 10 yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta

PART 1: Yafahamu magari 10 yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta

Nukta TV