5G inasambaza corona? Hapana, ni uzushi

May 6, 2020 10:13 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link
  • Virusi vya ugonjwa wa corona (COVID-19) haviwezi kusambaa kupitia mawimbi ya redio au mfumo wowote wa mawasiliano ya simu.

Dar es Salaam. Kumekuwa na habari zinasambaa kwa kasi mtandaoni kuwa teknolojia mpya ya mawasiliano ya 5G inasambaza virusi vya corona, hata hivyo, taarifa hizo hazina ukweli wowote kisayansi.

Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) virusi vya ugonjwa wa corona (COVID-19) haviwezi kusambaa kupitia mawimbi ya redio au mfumo wowote wa mawasiliano ya simu.

Ikumbukwe ugonjwa huo unasambaa kwa kasi hata kwenye mataifa ambayo hayana teknolojia hiyo ya 5G.

“COVID-19 inasambazwa kupitia majimaji ya mtu anapopiga chafya, kukohoa au kuzungumza. Watu wanaweza pia kuambukizwa virusi hivyo kwa kugusa maeneo yenye virusi halafu baadaye wakagusa pua, macho na midomo yao,” WHO inaeleza.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

Nukta TV

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Nukta TV

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

Nukta TV

BENEFIT FROM
Nukta ADS
Advertise with us to reach a wider audience with high conversion rates.
Other Nukta Africa Products
Nukta Habari
Stories that matter
Topics
Inuldge yourself with the topics in Nukta
All
Business
Africa
Contact
Tel
+255 750 881 888
Mail
newsroom@nukta.co.tz
Address
Mwananyamala kwa Kopa Dabe House Dar es Salaam TZ, 14108
Social Media

© 2024 Nukta Africa. All Rights Reserved.