Jinsi ya kuripoti habari ya uzushi kuhusu Corona katika mtandao wa Facebook

November 20, 2020 12:53 pm · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link
  • Mtandao huo umeweka mfumo maalum wa kuripoti taarifa zote za uzushi kuhusu Corona.
  • Mtandao huo ukigindua taarifa ni ya uongo unazuia usisambazwe kwa watu.

Dar es Salaam. Wakati jitihada za kupambana na ugonjwa wa virusi vya Corona zikiendelea duniani bado kumekuwa na wimbi kubwa la usambazaji wa taarifa potofu na za uongo kuhusu ugonjwa huo katika mitando ya kijamii ikiwemo Facebook.

Hali hiyo, imeiwezesha Facebook kuanzisha mfumo maalum unaosaidia kukabiliana na taarifa za uzushi kuhusu COVID-19 ili kuwalinda watumiaji wake wasipate madhara zaidi.

Mfumo huo pia unawawezesha watumiaji wa mtandao huo unaokua kwa kasi kuthibitisha na kuripoti taarifa anayofikiri siyo ya kweli kuhusu janga la Corona.  

Kwa mujibu wa Facebook, hatua ya kwanza ya kuripoti taarifa ya uzushi ni kwenda kwenye alama yenye nukta tatu zinazopatikana upande wa juu wa kulia wa ukurasa wa mtandao huo.


Zinahusiana:


Hatua ya pili utatakiwa kubonyeza hizo nukta tatu kisha unaenda kwenye kipengele cha mwisho kabisa cha “Find support” (tafuta msaada)  or “report post”  na kisha utapata kipengele kingine cha “Fake News” (Habari za uzushi).

Katika kipengele hicho, ndipo unapoweza kulipoti taarifa ya COVID-19 unayofikiri ni ya uzushi.

Kwa pamoja tunaweza kutokomeza Corona duniani, ikiwa kila mtu atatimiza wajibu wake.

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Unaweza kusema ni maumivu juu ya maumivu kwa watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia mafuta ya

Unaweza kusema ni maumivu juu ya maumivu kwa watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia mafuta ya

Nukta TV

Neema Mohamed, Mkurugenzi wa Bone and Blood Foundation, ni shujaa wa ugonjwa wa selimundu Sickl

Neema Mohamed, Mkurugenzi wa Bone and Blood Foundation, ni shujaa wa ugonjwa wa selimundu Sickl

Nukta TV

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ametua kwenye ardhi ya Urusi kwa ziara ya kitaifa ya siku

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ametua kwenye ardhi ya Urusi kwa ziara ya kitaifa ya siku

Nukta TV