Programu hii inavyopambana na habari za uzushi kuhusu Corona

December 3, 2020 6:53 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Mara nyingi pale matukio kama mlipuko wa ugonjwa wa Corona yanapotokea, ndipo picha zinazohusiana na matukio hayo zinapoanza kusambaa kwa kasi kupitia mitandao ya kijamii huku zikisababisha taharuki na hofu kwa watu wanaofikiwa nazo.

Mfano wa picha hizo ni matukio ya mwisho wa dunia, watu kufa kikatili katika mitaa mbalimbali, milipuko ya majengo na nyingine ambazo huenda zikakupatia taharuki itakayokuachia maumivu. 

Hata hivyo, wakati mwingine picha hizo huwa siyo za kweli na haziendani na tukio lililotokea kwa wakati huo kwani baadhi huwa ni picha kutoka kwenye filamu, zingine zikiwa ni picha zilizotengenezwa kwa malengo fulani.

Utawezaje kung’amua picha hizo? Simu yako ya mkononi tu inakutosha. Tazama video hii kujifunza.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
15 Aug, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
15 Aug, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Nukta TV

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Nukta TV

Rais Samia awataka wananchi wa Kizimkazi kutunza miundombinu ya maji

Rais Samia awataka wananchi wa Kizimkazi kutunza miundombinu ya maji

Nukta TV