Zingatia haya kabla ya kusafiri nje ya nchi
- Hakikisha umepata chanjo ya Uviko-19.
- Pia kuandaa bajeti ya dharula kwa ajili ya vipimo vya Uviko-19.
Dar es Salaam. Utajisikiaje pale utakapokuwa umepanga safari yako kwenda nchi fulani kibiashara au hata matembezi ya sikukuu na ukaishia kupata vikwazo?
Bila shaka jibu ni kuwa hautojisikia vyema. Mbali na kupoteza fedha, utakuwa umepoteza muda na rasilimali zingine ulizoandaa kwa ajili ya safari yako.
Unaweza kuepukana na yote hayo kwa kufahamu baadhi ya mambo muhimu kabla ya safari ikiwemo kupata chanjo:
Jifunze zaidi kupitia video hii