Zaidi ya nusu ya wakazi Maswa hawafamu hata mkutano mmoja wa kijiji uliofanyika 2021
February 23, 2022 7:43 am ·
Herimina
Dar es Salaam. Utafiti wa awali ngazi ya kaya Maswa uliofanywa na Shirika la Twaweza unabainisha kuwa watu saba kati ya 10 wilayani Maswa mkoani Simiyu hawafamu hata mkutano mmoja wa kijiji ulifanyika mwaka jana katika maeneo yao.
Sababu hiyo huwafanya kutokuhudhuri mikutano hiyo ambayo ni muhimu katika mipango ya maendeleo ya kijiji na maamuzi yanayohusu maisha yao.
Latest

17 hours ago
·
Fatuma Hussein
Zaidi ya nusu ya wakazi Arusha hawana maji safi

2 days ago
·
Lucy Samson
Tanzania yatangaza kumalizika kwa ugonjwa wa Marburg

2 days ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadili fedha za kigeni Machi 13,2025

3 days ago
·
Fatuma Hussein
TRA yajivunia mafanikio haya miaka minne ya Rais Samia