Zaidi ya nusu ya wakazi Maswa hawafamu hata mkutano mmoja wa kijiji uliofanyika 2021
February 23, 2022 7:43 am ·
Herimina
Dar es Salaam. Utafiti wa awali ngazi ya kaya Maswa uliofanywa na Shirika la Twaweza unabainisha kuwa watu saba kati ya 10 wilayani Maswa mkoani Simiyu hawafamu hata mkutano mmoja wa kijiji ulifanyika mwaka jana katika maeneo yao.
Sababu hiyo huwafanya kutokuhudhuri mikutano hiyo ambayo ni muhimu katika mipango ya maendeleo ya kijiji na maamuzi yanayohusu maisha yao.

Latest
7 hours ago
·
Fatuma Hussein
Mfahamu kiundani Profesa Costa Ricky Mahalu
15 hours ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Machi 11, 2026
3 days ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Machi 9, 2026
6 days ago
·
Lucy Samson
ATCL kuwarudisha Watanzania waliokwama Dubai