Zaidi ya nusu ya wakazi Maswa hawafamu hata mkutano mmoja wa kijiji uliofanyika 2021
February 23, 2022 7:43 am ·
Herimina
Dar es Salaam. Utafiti wa awali ngazi ya kaya Maswa uliofanywa na Shirika la Twaweza unabainisha kuwa watu saba kati ya 10 wilayani Maswa mkoani Simiyu hawafamu hata mkutano mmoja wa kijiji ulifanyika mwaka jana katika maeneo yao.
Sababu hiyo huwafanya kutokuhudhuri mikutano hiyo ambayo ni muhimu katika mipango ya maendeleo ya kijiji na maamuzi yanayohusu maisha yao.

Latest
8 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Sh385 milioni kuimarisha uchunguzi wa saratani kupitia AI, MUHAS
13 hours ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Februari 19, 2026
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Sh25.8 bilioni kusambaza nishati safi ya kupikia taasisi 453 Tanzania Bara
1 day ago
·
Fatuma Hussein
Maadhimisho ya siku ya wanawake Tanzania 2026 kupambwa na vazi la batiki