Zaidi ya nusu ya wakazi Maswa hawafamu hata mkutano mmoja wa kijiji uliofanyika 2021

February 23, 2022 7:43 am · Herimina
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Utafiti wa awali ngazi ya kaya Maswa  uliofanywa na Shirika la Twaweza unabainisha kuwa watu saba kati ya 10 wilayani Maswa mkoani Simiyu hawafamu hata mkutano mmoja wa kijiji ulifanyika mwaka jana katika maeneo yao.

​Sababu hiyo huwafanya kutokuhudhuri mikutano hiyo ambayo ni muhimu katika mipango ya maendeleo ya kijiji na maamuzi yanayohusu maisha yao.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
19 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
19 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Siku ya Familia, Mtoto wa Afrika kuadhimishwa Juni 30, 2026

Siku ya Familia, Mtoto wa Afrika kuadhimishwa Juni 30, 2026

Nukta TV

Wadau wa 'kubet" watoa ya moyoni, pendekezo kupanda kwa tozo 5%

Wadau wa 'kubet" watoa ya moyoni, pendekezo kupanda kwa tozo 5%

Nukta TV

Wasemayo wananchi, vocha za kukwangua kupigwa maruku mijini

Wasemayo wananchi, vocha za kukwangua kupigwa maruku mijini

Nukta TV