Infografia: Ukaribu wa viongozi na wananchi bado changamoto Maswa

February 28, 2022 7:06 am · Herimina
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Utafiti wa awali wa ngazi ya kaya wilayani Maswa mkoani Simiyu (Machi 12 – 14 Aprili 2021), uliofanywa na Shirika la Twaweza unaonyesha kuwa wananchi na viongozi katika wilaya hiyo wanakutana mara chache kuzungumza kuhusu maendeleo.

Kwa mujibu wa utafiti huo ni wakazi 3 kati ya 10 ndiyo wamewahi kukutana na kuzungumza na mwenyekiti wa kijiji, huku hali mbaya ikiwa ni kwa mbunge ambapo asilimia 2 pekee ya wakazi wilayani humo wameonana na mbunge wao walau mara moja.

Mara ya mwisho kukutaa na kiongozi wako ilikuwa lini?

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
15 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
15 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
15 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Nukta TV

Rais Samia: Kalamu yangu ina hatari, sijawahi kusaini mtu kunyongwa

Rais Samia: Kalamu yangu ina hatari, sijawahi kusaini mtu kunyongwa

Nukta TV

Rais Samia: Matumizi jina Samia, likiwa kila mahali inachosha, tafuteni wengine

Rais Samia: Matumizi jina Samia, likiwa kila mahali inachosha, tafuteni wengine

Nukta TV