Infografia: Ukaribu wa viongozi na wananchi bado changamoto Maswa

February 28, 2022 7:06 am · Herimina
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Utafiti wa awali wa ngazi ya kaya wilayani Maswa mkoani Simiyu (Machi 12 – 14 Aprili 2021), uliofanywa na Shirika la Twaweza unaonyesha kuwa wananchi na viongozi katika wilaya hiyo wanakutana mara chache kuzungumza kuhusu maendeleo.

Kwa mujibu wa utafiti huo ni wakazi 3 kati ya 10 ndiyo wamewahi kukutana na kuzungumza na mwenyekiti wa kijiji, huku hali mbaya ikiwa ni kwa mbunge ambapo asilimia 2 pekee ya wakazi wilayani humo wameonana na mbunge wao walau mara moja.

Mara ya mwisho kukutaa na kiongozi wako ilikuwa lini?

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Aug, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Aug, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
NISHATI

NISHATI

Nukta TV

Utani wa Rais Samia kwa wachimba madini wa Katoro

Utani wa Rais Samia kwa wachimba madini wa Katoro

Nukta TV

Rais Samia: Misaada imepungua, tukaze buti

Rais Samia: Misaada imepungua, tukaze buti

Nukta TV