Zaidi ya robo tatu ya wakazi Maswa hawapo kwenye vikundi vya kijamii
February 22, 2022 2:02 pm ·
Herimina
Dar es Salaam. Utafiti wa awali ngazi ya kaya wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, uliofanyika Machi hadi April 2021 na Shirika la Twaweza, umebaini kuwa takriban watu nane kati ya 10 wilayani humo hawako kwenye kikundi chochote cha kijamii.
Hiyo ni sawa asilimia 77 ya wakazi katika wilaya hiyo.

Latest
12 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Nchi 10 zilizoongoza kwa uwekezaji (FDI) Tanzania 2024
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Brela yatangaza mfumo mpya utoaji huduma leseni kundi ‘A’
2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Nukta Africa kuzindua Nukta AI, siku ya uhuru wa vyombo vya habari
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Tume ya Chande yapendekeza katiba mpya kabla ya 2028