Zaidi ya robo tatu ya wakazi Maswa hawapo kwenye vikundi vya kijamii

February 22, 2022 2:02 pm · Herimina
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Utafiti wa awali ngazi ya kaya wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, uliofanyika Machi hadi April 2021 na Shirika la Twaweza, umebaini kuwa takriban watu nane kati ya 10 wilayani humo hawako kwenye kikundi chochote cha kijamii.

Hiyo ni sawa asilimia 77 ya wakazi katika wilaya hiyo.


Follow Us on TikTok

Subscribe to Our YouTube Channel

Subscribe

Loading videos...

Loading videos...

Loading videos...