Zaidi ya robo tatu ya wakazi Maswa hawapo kwenye vikundi vya kijamii
February 22, 2022 2:02 pm ·
Herimina
Dar es Salaam. Utafiti wa awali ngazi ya kaya wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, uliofanyika Machi hadi April 2021 na Shirika la Twaweza, umebaini kuwa takriban watu nane kati ya 10 wilayani humo hawako kwenye kikundi chochote cha kijamii.
Hiyo ni sawa asilimia 77 ya wakazi katika wilaya hiyo.

Latest
5 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
5 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
6 days ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka
