Huduma ya barabara bado bado Maswa
February 25, 2022 6:13 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Licha ya barabara kuwa miundombinu muhimu katika kuwezesha usafirishaji wa watu na mizigo, bado wakazi wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu wamesema huduma hiyo haitolewi kama inavyohitajika.
Kwa mujibu wa utafiti wa Awali ngazi ya Kaya, Maswa (Machi – Aprili, 2021) uliofanywa na Shirika la Twaweza umebaini kuwa asilimia 82 ya wakazi wilayani humo hawaridhishwi na huduma ya barabara na miundombinu.
Hiyo inatoa tafsiri kuwa changamoto ya barabara ba do ni kubwa wilayani humo.
Latest

5 hours ago
·
Esau Ng'umbi
Rais Samia ataja mafunzo matano kwa viongozi wa sasa kujifunza kwa Hayati Msuya

1 day ago
·
Kelvin Makwinya
INEC yaongeza majimbo Tanzania, Bunge likifikia wabunge zaidi 400

1 day ago
·
Fatuma Hussein
Wizara ya Elimu yaomba bajeti ya zaidi Sh2.4 trilioni 2025/26

3 days ago
·
Fatuma Hussein
ACT-Wazalendo wazidi kukomaa na Serikali ripoti ya CAG