Huduma ya barabara bado bado Maswa
February 25, 2022 6:13 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Licha ya barabara kuwa miundombinu muhimu katika kuwezesha usafirishaji wa watu na mizigo, bado wakazi wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu wamesema huduma hiyo haitolewi kama inavyohitajika.
Kwa mujibu wa utafiti wa Awali ngazi ya Kaya, Maswa (Machi – Aprili, 2021) uliofanywa na Shirika la Twaweza umebaini kuwa asilimia 82 ya wakazi wilayani humo hawaridhishwi na huduma ya barabara na miundombinu.
Hiyo inatoa tafsiri kuwa changamoto ya barabara ba do ni kubwa wilayani humo.
Latest
2 hours ago
·
Lucy Samson
Hizi ndio nchi 5 zenye idadi kubwa ya Simba Afrika
5 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Disemba 5, 2025
22 hours ago
·
Lucy Samson
Tanzania mwenyeji mkutano wa mabunge duniani 2026
2 days ago
·
Fatuma Hussein
DCEA yataifisha mali za Sh 3.3 bilioni za watuhumiwa biashara dawa za kulevya