Huduma ya barabara bado bado Maswa
February 25, 2022 6:13 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Licha ya barabara kuwa miundombinu muhimu katika kuwezesha usafirishaji wa watu na mizigo, bado wakazi wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu wamesema huduma hiyo haitolewi kama inavyohitajika.
Kwa mujibu wa utafiti wa Awali ngazi ya Kaya, Maswa (Machi – Aprili, 2021) uliofanywa na Shirika la Twaweza umebaini kuwa asilimia 82 ya wakazi wilayani humo hawaridhishwi na huduma ya barabara na miundombinu.
Hiyo inatoa tafsiri kuwa changamoto ya barabara ba do ni kubwa wilayani humo.
Latest

19 hours ago
·
Fatuma Hussein
Zaidi ya nusu ya wakazi Arusha hawana maji safi

2 days ago
·
Lucy Samson
Tanzania yatangaza kumalizika kwa ugonjwa wa Marburg

2 days ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadili fedha za kigeni Machi 13,2025

3 days ago
·
Fatuma Hussein
TRA yajivunia mafanikio haya miaka minne ya Rais Samia