Yaliyotekelezwa ndani ya siku 100 za Samia
February 11, 2026 6:00 pm ·
Fatuma Hussein
- Ni pamoja na kutoa ajira SEKTA ya afya, elimu, na kutoa mikopo kwa makundi ya wanawake na vijana.
Dar es Salaam. Katika siku 100 za uongozi wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, Serikali imechukua hatua kadhaa za kuboresha maisha ya wananchi.
Miongoni mwa hatua hizo ni pamoja na kuajiri watumishi 12,000 katika sekta za afya na elimu kama sehemu ya kutimiza ahadi za Rais wakati akihutubia Bunge kwa mara ya kwanza baada ya kuapishwa kwake.

Latest
34 minutes ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Machi 23, 2026
3 days ago
·
Lucy Samson
Kwanini wanawake wa kiislamu huchora piko, hina wakati wa sikukuu za Eid?
3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Mambo ya kuzingatia wakati, kabla na baada ya ‘Interview’
5 days ago
·
Waandishi
Mapendekezo 284 ya tume ya kodi kuwafuta machozi wafanyabiashara Tanzania