Yaliyotekelezwa ndani ya siku 100 za Samia

February 11, 2026 6:00 pm · Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Katika siku 100 za uongozi wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, Serikali imechukua hatua kadhaa za kuboresha maisha ya wananchi. 

Miongoni mwa hatua hizo ni pamoja na kuajiri watumishi 12,000 katika sekta za afya na elimu kama sehemu ya kutimiza ahadi za Rais wakati akihutubia Bunge kwa mara ya kwanza baada ya kuapishwa kwake.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
15 Aug, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
15 Aug, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Nukta TV

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Nukta TV

Rais Samia awataka wananchi wa Kizimkazi kutunza miundombinu ya maji

Rais Samia awataka wananchi wa Kizimkazi kutunza miundombinu ya maji

Nukta TV