Yaliyotekelezwa ndani ya siku 100 za Samia

February 11, 2026 6:00 pm · Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kutoa ajira SEKTA ya afya, elimu, na kutoa mikopo kwa makundi ya wanawake na vijana.

Dar es Salaam. Katika siku 100 za uongozi wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, Serikali imechukua hatua kadhaa za kuboresha maisha ya wananchi. 

Miongoni mwa hatua hizo ni pamoja na kuajiri watumishi 12,000 katika sekta za afya na elimu kama sehemu ya kutimiza ahadi za Rais wakati akihutubia Bunge kwa mara ya kwanza baada ya kuapishwa kwake.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Follow Us on TikTok

Subscribe to Our YouTube Channel

Subscribe

Loading videos...

Loading videos...

Loading videos...

Enable Notifications OK No thanks