Yaliyotekelezwa ndani ya siku 100 za Samia

February 11, 2026 6:00 pm · Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kutoa ajira SEKTA ya afya, elimu, na kutoa mikopo kwa makundi ya wanawake na vijana.

Dar es Salaam. Katika siku 100 za uongozi wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, Serikali imechukua hatua kadhaa za kuboresha maisha ya wananchi. 

Miongoni mwa hatua hizo ni pamoja na kuajiri watumishi 12,000 katika sekta za afya na elimu kama sehemu ya kutimiza ahadi za Rais wakati akihutubia Bunge kwa mara ya kwanza baada ya kuapishwa kwake.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Nukta TV

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

Nukta TV

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV