Yaliyomo mwongozo mpya kwa wasafiri Tanzania

December 31, 2021 4:52 am · Herimina
Share
Tweet
Copy Link

Dar es salaam. Hadi kufikia Desemba 30, visa vya Uviko-19 vimefikia milioni 228.8 kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani. Kutokana na kuongezeka kwa visa vya Uviko-19 duniani, Serikali ya Tanzania imetoa mwongozo awamu ya tisa kwa wasafiri wanaoingia nchini.

Mwongozo huo uliotolewa Desemba 24 mwaka huu unatoa maelekezo mbalimbali ikiwemo ujazaji wa fomu za taarifa za kiafya kwa wasafiri, ambazo zinapatikana tovuti za Wizara ya Afya Tanzania bara na Zanzibar.

Infografia ifuatayo inaeleza zaidi:

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Nukta TV

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

Nukta TV

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV