Yaliyomo mwongozo mpya kwa wasafiri Tanzania

December 31, 2021 4:52 am · Herimina
Share
Tweet
Copy Link

Dar es salaam. Hadi kufikia Desemba 30, visa vya Uviko-19 vimefikia milioni 228.8 kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani. Kutokana na kuongezeka kwa visa vya Uviko-19 duniani, Serikali ya Tanzania imetoa mwongozo awamu ya tisa kwa wasafiri wanaoingia nchini.

Mwongozo huo uliotolewa Desemba 24 mwaka huu unatoa maelekezo mbalimbali ikiwemo ujazaji wa fomu za taarifa za kiafya kwa wasafiri, ambazo zinapatikana tovuti za Wizara ya Afya Tanzania bara na Zanzibar.

Infografia ifuatayo inaeleza zaidi:

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Kwanini uchafuzi wa mazingira ni tishio kwa afya ya binadamu na uchumi

Kwanini uchafuzi wa mazingira ni tishio kwa afya ya binadamu na uchumi

Nukta TV

Tunachokifahamu kuhusu ziara ya Rais Samia Urusi, kidiplomasia na uchumi

Tunachokifahamu kuhusu ziara ya Rais Samia Urusi, kidiplomasia na uchumi

Nukta TV

Kutoka Ubunge hadi mshauri wa Rais, Panda shuka ya Ummy Mwalimu katika siasa

Kutoka Ubunge hadi mshauri wa Rais, Panda shuka ya Ummy Mwalimu katika siasa

Nukta TV