Yakuzingatiwa kwa watumiaji wa pombe wakati wa Uviko-19
October 27, 2021 12:04 pm ·
Herimina
Dar es salaam. Wakati mapambano ya Uviko-19 yakiendelea ni muhimu kwa watumiaji wa pombe kuzingatia mambo mbalimbali ya kiafya ili kutojiweka katika hatari ya kuambukizwa ugonjwa huo.
Mambo hayo ni pamoja na kuepuka unywaji wa pombe uliokithiri kwani pombe inaweza kusababisha kutofikiri vizuri hivyo kupunguza umakini wa kuchukua tahadhari dhidi ya Uviko-19.
Vile vile inashauriwa kutokunywa pombe saa nne hadi nane kabla na baada ya kuchanja chanjo ya Uviko-19.
Ikumbukwe kuwa unywaji wa pombe hauui wala hauupatii mwilikinga dhidi ya virusi vya Uviko-19.

Latest
7 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
1 week ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka