Hali halisi ya walimu shule za msingi Pangani

April 12, 2022 7:22 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Licha ya baadhi ya shule za msingi katika Wilaya ya Pangani mkoani Tanga kukabiliwa na uhaba wa walimu bado wilaya hiyo ina uwiano mzuri wa walimu kwa wanafunzi.

Kwa mujibu wa takwimu Muhimu za Elimu (BEST 2021) zilizotolewa na Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), mwalimu mmoja mwenye sifa wilayani humo anafundisha wanafunzi 51 kiwango ambacho ni juu ya uwiano wa kitaifa wa mwalimu mmoja kwa wanafunzi 45.

Uwepo wa walimu wa kutosha shuleni unasaidia wanafunzi kupata maarifa na ujuzi kwa wakati.

 

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

Nukta TV

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Nukta TV

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

Nukta TV

BENEFIT FROM
Nukta ADS
Advertise with us to reach a wider audience with high conversion rates.
Other Nukta Africa Products
Nukta Habari
Stories that matter
Topics
Inuldge yourself with the topics in Nukta
All
Business
Africa
Contact
Tel
+255 750 881 888
Mail
newsroom@nukta.co.tz
Address
Mwananyamala kwa Kopa Dabe House Dar es Salaam TZ, 14108
Social Media

© 2024 Nukta Africa. All Rights Reserved.