Hali halisi ya walimu shule za msingi Pangani
April 12, 2022 7:22 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Licha ya baadhi ya shule za msingi katika Wilaya ya Pangani mkoani Tanga kukabiliwa na uhaba wa walimu bado wilaya hiyo ina uwiano mzuri wa walimu kwa wanafunzi.
Kwa mujibu wa takwimu Muhimu za Elimu (BEST 2021) zilizotolewa na Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), mwalimu mmoja mwenye sifa wilayani humo anafundisha wanafunzi 51 kiwango ambacho ni juu ya uwiano wa kitaifa wa mwalimu mmoja kwa wanafunzi 45.
Uwepo wa walimu wa kutosha shuleni unasaidia wanafunzi kupata maarifa na ujuzi kwa wakati.

Latest
5 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
6 days ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka