Infografia : Mazingira magumu yanavyohatarisha maisha ya wanafunzi Maswa

January 27, 2022 7:31 am · Herimina
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Wanafunzi 7,788 wa shule za msingi katika Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu wanaishi katika mazingira magumu, jambo linalowaweka katika hatari ya kutozifikia ndoto zao ikiwemo elimu.

Kwa mujibu wa takwimu muhimu za mwaka 2020, katika idadi hiyo, asilimia 94 ambayo ni sawa na wanafunzi 7282 wanatokea katika familia zenye kipato cha chini. 

Hali hiyo inasababisha wanafunzi hawa kupata kwa shida au kukosa mahitaji muhimu ya shule ikiwemo vitabu vya kujisomea pamoja na madaftari.

Jambo la hatari zaidi ni kuwa wanafunzi 443 wilayani humo wanaishi au kupita katika maeneo ya wanyamapori, hivyo kuwa hatarini kushambuliwa au kuuwawa na wanyama wakali.

 

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
25 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
25 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
25 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Hizi ndio passport 5 zenye nguvu zaidi duniani

Hizi ndio passport 5 zenye nguvu zaidi duniani

Nukta TV

Hii ndio spirulina: Hazina ya maji inayoboresha afya za Watanzania

Hii ndio spirulina: Hazina ya maji inayoboresha afya za Watanzania

Nukta TV

Mradi wa Sh4.6 bilioni kutoa ahueni ya umeme Lindi, Mtwara

Mradi wa Sh4.6 bilioni kutoa ahueni ya umeme Lindi, Mtwara

Nukta TV