Hali halisi ya Tehama shule za msingi Maswa
February 4, 2022 6:39 am ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Licha ya teknolojia ya habari na mawasiliano kuwa na umuhimu kwa wanafunzi kupata ujuzi na maarifa mapya, shule za msingi za Halmashauri ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu zinakabiliwa na upungufu mkubwa wa vifaa vya Tehama.
Hali hiyo inaweza kuwa kikwazo kwa wanafunzi kupata elimu ya Tehama ambayo inahitajika zaidi wakati huu wa mapinduzi ya nne ya viwanda.
Latest

1 day ago
·
Kelvin Makwinya
INEC yaongeza majimbo Tanzania, Bunge likifikia wabunge zaidi 400

1 day ago
·
Fatuma Hussein
Wizara ya Elimu yaomba bajeti ya zaidi Sh2.4 trilioni 2025/26

3 days ago
·
Fatuma Hussein
ACT-Wazalendo wazidi kukomaa na Serikali ripoti ya CAG

3 days ago
·
Esau Ng'umbi
Spiro Launches E-Bikes in Tanzania promising cleaner rides