Hali halisi ya Tehama shule za msingi Maswa
February 4, 2022 6:39 am ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Licha ya teknolojia ya habari na mawasiliano kuwa na umuhimu kwa wanafunzi kupata ujuzi na maarifa mapya, shule za msingi za Halmashauri ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu zinakabiliwa na upungufu mkubwa wa vifaa vya Tehama.
Hali hiyo inaweza kuwa kikwazo kwa wanafunzi kupata elimu ya Tehama ambayo inahitajika zaidi wakati huu wa mapinduzi ya nne ya viwanda.
Latest

14 hours ago
·
Fatuma Hussein
Zaidi ya nusu ya wakazi Arusha hawana maji safi

2 days ago
·
Lucy Samson
Tanzania yatangaza kumalizika kwa ugonjwa wa Marburg

2 days ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadili fedha za kigeni Machi 13,2025

3 days ago
·
Fatuma Hussein
TRA yajivunia mafanikio haya miaka minne ya Rais Samia