Hali halisi ya Tehama shule za msingi Maswa
February 4, 2022 6:39 am ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Licha ya teknolojia ya habari na mawasiliano kuwa na umuhimu kwa wanafunzi kupata ujuzi na maarifa mapya, shule za msingi za Halmashauri ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu zinakabiliwa na upungufu mkubwa wa vifaa vya Tehama.
Hali hiyo inaweza kuwa kikwazo kwa wanafunzi kupata elimu ya Tehama ambayo inahitajika zaidi wakati huu wa mapinduzi ya nne ya viwanda.
Latest

10 minutes ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha za kigeni Machi 17, 2025

2 days ago
·
Lucy Samson
Si kweli: Baking soda, chai ya manjano inatibu Mpox

3 days ago
·
Fatuma Hussein
Zaidi ya nusu ya wakazi Arusha hawana maji safi

4 days ago
·
Lucy Samson
Tanzania yatangaza kumalizika kwa ugonjwa wa Marburg