Waandishi Nukta Africa vinara tuzo za umahiri wa habari Tanzania

September 10, 2021 2:17 pm · TULINAGWE ALSON
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni Rodgers George na Daniel Samson
  • Tuzo hizo zinatolewa na Baraza la habari Tanzania (MCT)

Dar es Salaam. Waandishi wa habari wa kampuni ya habari na teknolojia ya Nukta Africa, Rodgers George na Daniel Samson wametangazwa kuwa miongoni mwa washindi wa tuzo za umahiri wa uandishi wa habari Tanzania (EJAT) kwa mwaka 2020 .

Rodgers George ameshinda tuzo ya uandishi wa habari ya takwimu katika upande wa habari za mtandaoni huku Daniel Samson akishinda tuzo za elimu kwa upande wa habari za mtandaoni.

Tuzo hizo ambazo hutolewa na Baraza la habari Tanzania (MCT),  zinaendelea katika ukumbi wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW