Viwango vya kubadili fedha za kigeni dhidi ya shilingi ya Tanzania

November 26, 2024 12:14 pm · Davis Matambo
Share
Tweet
Copy Link

Thamani ya shilingi ya Tanzania inaendelea kuimarika dhidi ya dola ya Marekani, bei ya kununua imeshuka kwa Sh7.32 sambamba na bei ya kuuza Sh7.39 kutoka jana.

Hatah ivyo thamani ya shilingi ya Tanzania imeshuka dhidi ya Euro ambayo bei ya kununua imepanda kwa Sh10.7, wakati ya kuuza ikipanda kwa Sh10.81 kwa viwango vya Benki Kuu.

Bei ya kununua dhahabu imeshuka kwa Sh65,240 kutoka Sh7,089,746 iliyokuwa sokoni jana na kuuzwa Sh7,024,506 inayotumika leo.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

Nukta TV

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Nukta TV

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

Nukta TV

BENEFIT FROM
Nukta ADS
Advertise with us to reach a wider audience with high conversion rates.
Other Nukta Africa Products
Nukta Habari
Stories that matter
Topics
Inuldge yourself with the topics in Nukta
All
Business
Africa
Contact
Tel
+255 750 881 888
Mail
newsroom@nukta.co.tz
Address
Mwananyamala kwa Kopa Dabe House Dar es Salaam TZ, 14108
Social Media

© 2024 Nukta Africa. All Rights Reserved.