Viwango vya kubadili fedha za kigeni dhidi ya shilingi ya Tanzania
November 26, 2024 12:14 pm ·
Davis Matambo
Thamani ya shilingi ya Tanzania inaendelea kuimarika dhidi ya dola ya Marekani, bei ya kununua imeshuka kwa Sh7.32 sambamba na bei ya kuuza Sh7.39 kutoka jana.
Hatah ivyo thamani ya shilingi ya Tanzania imeshuka dhidi ya Euro ambayo bei ya kununua imepanda kwa Sh10.7, wakati ya kuuza ikipanda kwa Sh10.81 kwa viwango vya Benki Kuu.
Bei ya kununua dhahabu imeshuka kwa Sh65,240 kutoka Sh7,089,746 iliyokuwa sokoni jana na kuuzwa Sh7,024,506 inayotumika leo.

Latest
12 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Nchi 10 zilizoongoza kwa uwekezaji (FDI) Tanzania 2024
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Brela yatangaza mfumo mpya utoaji huduma leseni kundi ‘A’
2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Nukta Africa kuzindua Nukta AI, siku ya uhuru wa vyombo vya habari
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Tume ya Chande yapendekeza katiba mpya kabla ya 2028