Viwango vya kubadili fedha za kigeni dhidi ya Shilingi ya Tanzania

November 21, 2024 9:48 am · Kelvin Makwinya
Share
Tweet
Copy Link

Shilingi ya Tanzania yazidi kuimarika siku baada ya siku dhidi ya Dola ya Marekani. Ndani ya mwezi Novemba kulinganisha na mwezi uliopita ambapo Dola ilikuwa juu zaidi.

Kuimarika kwa Shilingi ya Tanzania dhidi ya Dola ya Marekani ni shangwe kwa wafanyabiashara hasa wanaoagiza bidhaa nje ya nchi, kwasababu hutumia Dola kufanya malipo za bidhaa zao.

Hata katika soko la rejareja kutoka benki za biashara, shilingi imeimarika, viwango cha kubadili fedha (exchange rate). Benki ya NMB PLC vinabainisha kuwa Dola moja inauzwa Sh2,710 leo kutoka Sh2,740 mwezi mmoja uliopita.

Katika soko la jumla pia shilingi imeonekana kuipunguza makali Dola ya Marekani. Kwa mujibu wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) shilingi ya Tanzania imepanda thamani kwa Sh75.36 kulingana na tofauti ya bei ya kununua iliyopo leo na ile ya mwezi uliopita.

Tumia viwango hivi kuuza na kununua Dola kwa Shilingi ya Tanzania leo.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
7 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
7 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV