Ujumbe wa Rais Samia kwa Watanzania mwaka 2023

December 26, 2022 7:31 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Mbali na Rais Samia Suluhu Hassan kuwataka Watanzania kusherehekea sikukuu za mwisho wa mwaka kwa amani na utulivu pia amewataka kuendelea kufanya kazi kwa juhudi na weledi watakapoingia mwaka 2023 ili nchi iendelee kupiga hatua mbele.

Rais Samia ametoa ujumbe huo wa heri kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Twitter wakati wakristo nchini wanaungana na wengine duniani kuadhimisha sikukuu ya Krismas ya kuzaliwa kwa Yesu.

“Nawatakia Watanzania wote kheri ya Krismasi na Mwaka Mpya. Tumpe Mwenyezi Mungu shukrani kwa kutufikisha salama wakati huu wa mwaka,” amesema Rais.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
7 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
7 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV