Ujumbe wa Rais Samia kwa Watanzania mwaka 2023

December 26, 2022 7:31 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Mbali na Rais Samia Suluhu Hassan kuwataka Watanzania kusherehekea sikukuu za mwisho wa mwaka kwa amani na utulivu pia amewataka kuendelea kufanya kazi kwa juhudi na weledi watakapoingia mwaka 2023 ili nchi iendelee kupiga hatua mbele.

Rais Samia ametoa ujumbe huo wa heri kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Twitter wakati wakristo nchini wanaungana na wengine duniani kuadhimisha sikukuu ya Krismas ya kuzaliwa kwa Yesu.

“Nawatakia Watanzania wote kheri ya Krismasi na Mwaka Mpya. Tumpe Mwenyezi Mungu shukrani kwa kutufikisha salama wakati huu wa mwaka,” amesema Rais.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
PART 2: Yafahamu magari 10 yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta.

PART 2: Yafahamu magari 10 yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta.

Nukta TV

🔴LIVE: LIVE:WABUNGE WAKIWACHAPA MASWALI MAWAZIRI | Bunge la 13 | Kikao cha 28

🔴LIVE: LIVE:WABUNGE WAKIWACHAPA MASWALI MAWAZIRI | Bunge la 13 | Kikao cha 28

Nukta TV

PART 1: Yafahamu magari 10 yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta

PART 1: Yafahamu magari 10 yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta

Nukta TV