Ufanye nini unapokutana na habari kuhusuiana na chanjo ya Corona?

June 9, 2021 1:14 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Inashauriwa kuhakiki uthabiti wa chombo cha habari ulichopata taarifa kuhusu chanjo ya Corona.

Dar es Salaam. Tangu mlipuko wa ugonjwa wa Corona, mitandao ya kijamii imekuwa ni jukwaa la watu kupata habari mbalimbali kuhusiana na ugonjwa huo. 

Pale chanjo ya Corona ilipotangazwa, bado watu wanatumia mitandao ya kijamii na tovuti mbalimbali za habari kupata habari za namna ya kukabiliana na ugonjwa wa Corona ulichukua maisha ya watu zaidi ya milioni 3.6 ulimwenguni hadi sasa kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO). 

Hata hivyo, baadhi ya habari hizo zimekuwa siyo za ukweli na lengo la kuchapishwa ni kuzua taharuki miongoni mwa watu na kuongeza uoga miongoni mwa watu.

Pale unapokutana na habari kuhusiana na ugonjwa wa chanjo, yapo mengi ambayo unaweza kufanya ili kuhakikisha uthabiti wa habari hiyo ikiwa ni pamoja na kukagua urasmi wa chombo kilichokuhabarisha.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV