Ufanye nini unapokutana na habari kuhusuiana na chanjo ya Corona?

June 9, 2021 1:14 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Inashauriwa kuhakiki uthabiti wa chombo cha habari ulichopata taarifa kuhusu chanjo ya Corona.

Dar es Salaam. Tangu mlipuko wa ugonjwa wa Corona, mitandao ya kijamii imekuwa ni jukwaa la watu kupata habari mbalimbali kuhusiana na ugonjwa huo. 

Pale chanjo ya Corona ilipotangazwa, bado watu wanatumia mitandao ya kijamii na tovuti mbalimbali za habari kupata habari za namna ya kukabiliana na ugonjwa wa Corona ulichukua maisha ya watu zaidi ya milioni 3.6 ulimwenguni hadi sasa kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO). 

Hata hivyo, baadhi ya habari hizo zimekuwa siyo za ukweli na lengo la kuchapishwa ni kuzua taharuki miongoni mwa watu na kuongeza uoga miongoni mwa watu.

Pale unapokutana na habari kuhusiana na ugonjwa wa chanjo, yapo mengi ambayo unaweza kufanya ili kuhakikisha uthabiti wa habari hiyo ikiwa ni pamoja na kukagua urasmi wa chombo kilichokuhabarisha.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: ULEGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI BUNGENI

🔴LIVE: ULEGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI BUNGENI

Nukta TV

🔴LIVE: HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA ULINZI NA IKISOMWA BUNGENI

🔴LIVE: HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA ULINZI NA IKISOMWA BUNGENI

Nukta TV

Fahamu kuhusu Virusi vya ‘Hantavirus’ na nini chanzo chake ?

Fahamu kuhusu Virusi vya ‘Hantavirus’ na nini chanzo chake ?

Nukta TV