Ufanye nini unapokutana na habari kuhusuiana na chanjo ya Corona?

June 9, 2021 1:14 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Inashauriwa kuhakiki uthabiti wa chombo cha habari ulichopata taarifa kuhusu chanjo ya Corona.

Dar es Salaam. Tangu mlipuko wa ugonjwa wa Corona, mitandao ya kijamii imekuwa ni jukwaa la watu kupata habari mbalimbali kuhusiana na ugonjwa huo. 

Pale chanjo ya Corona ilipotangazwa, bado watu wanatumia mitandao ya kijamii na tovuti mbalimbali za habari kupata habari za namna ya kukabiliana na ugonjwa wa Corona ulichukua maisha ya watu zaidi ya milioni 3.6 ulimwenguni hadi sasa kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO). 

Hata hivyo, baadhi ya habari hizo zimekuwa siyo za ukweli na lengo la kuchapishwa ni kuzua taharuki miongoni mwa watu na kuongeza uoga miongoni mwa watu.

Pale unapokutana na habari kuhusiana na ugonjwa wa chanjo, yapo mengi ambayo unaweza kufanya ili kuhakikisha uthabiti wa habari hiyo ikiwa ni pamoja na kukagua urasmi wa chombo kilichokuhabarisha.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
25 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
26 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
26 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Hizi ndio passport 5 zenye nguvu zaidi duniani

Hizi ndio passport 5 zenye nguvu zaidi duniani

Nukta TV

Hii ndio spirulina: Hazina ya maji inayoboresha afya za Watanzania

Hii ndio spirulina: Hazina ya maji inayoboresha afya za Watanzania

Nukta TV

Mradi wa Sh4.6 bilioni kutoa ahueni ya umeme Lindi, Mtwara

Mradi wa Sh4.6 bilioni kutoa ahueni ya umeme Lindi, Mtwara

Nukta TV