Jinsi ya kuzungumza na watu wasiotaka chanjo ya Corona

December 15, 2020 5:42 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Hatimaye mapambano dhidi ya ugonjwa wa virusi vya Corona yamefikia hatua nzuri. Mataifa mbalimbali yanaendelea na utengenezaji wa chanjo huku baadhi yakiwemo Uingereza tayari yameanza kutumia chanjo zake ili kuwakinga watu na maradhi hayo. 

Mapokeo ya chanjo hiyo kwenye jamii yatakua tofauti. Baadhi ya watu, huenda wasikubali kabisa kuitumia kutokana na mashaka waliyonayo. Unawezaje kuzungumza na watu wa namna hiyo? Fuata hatua hizi:

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW