Jinsi ya kuzungumza na watu wasiotaka chanjo ya Corona
December 15, 2020 5:42 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Hatimaye mapambano dhidi ya ugonjwa wa virusi vya Corona yamefikia hatua nzuri. Mataifa mbalimbali yanaendelea na utengenezaji wa chanjo huku baadhi yakiwemo Uingereza tayari yameanza kutumia chanjo zake ili kuwakinga watu na maradhi hayo.
Mapokeo ya chanjo hiyo kwenye jamii yatakua tofauti. Baadhi ya watu, huenda wasikubali kabisa kuitumia kutokana na mashaka waliyonayo. Unawezaje kuzungumza na watu wa namna hiyo? Fuata hatua hizi:

Latest
5 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
6 days ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka