Jinsi ya kuzungumza na watu wasiotaka chanjo ya Corona

December 15, 2020 5:42 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Hatimaye mapambano dhidi ya ugonjwa wa virusi vya Corona yamefikia hatua nzuri. Mataifa mbalimbali yanaendelea na utengenezaji wa chanjo huku baadhi yakiwemo Uingereza tayari yameanza kutumia chanjo zake ili kuwakinga watu na maradhi hayo. 

Mapokeo ya chanjo hiyo kwenye jamii yatakua tofauti. Baadhi ya watu, huenda wasikubali kabisa kuitumia kutokana na mashaka waliyonayo. Unawezaje kuzungumza na watu wa namna hiyo? Fuata hatua hizi:

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV