Tahadhari: Uviko-19 haujaondoka Afrika
November 24, 2022 8:41 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Ugonjwa wa Corona (Uviko-19) bado unaendelea kuangamiza maisha ya watu duniani. Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), zaidi ya watu 200,000 wamefariki kwa ugonjwa huo barani Afrika.
Unakumbushwa kuchukua tahari ikiwemo kupata chanjo na kuendelea kunawa mikono na kutumia barakoa.

Similar News
ai.nukta.co.tz/discover →
/
5 Jun, 2026 · TZS
Masoko
ai.nukta.co.tz/finance →
5 Jun, 2026 · TZS
Market Movers
ai.nukta.co.tz/finance →5 Jun, 2026