Tahadhari: Uviko-19 haujaondoka Afrika
November 24, 2022 8:41 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Ugonjwa wa Corona (Uviko-19) bado unaendelea kuangamiza maisha ya watu duniani. Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), zaidi ya watu 200,000 wamefariki kwa ugonjwa huo barani Afrika.
Unakumbushwa kuchukua tahari ikiwemo kupata chanjo na kuendelea kunawa mikono na kutumia barakoa.

Latest
19 hours ago
·
Fatuma Hussein
Ufahamu ugonjwa wa hantavirus
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni leo Mei 13, 2026
4 days ago
·
Fatuma Hussein
Usafiri, bidhaa za vyakula vyapaisha mfumuko wa bei kwa asilimia 0.8 Tanzania
5 days ago
·
Fatuma Hussein
Wagonjwa wa afya akili waongezeka kwa asilimia 89, Serikali yaanika mikakati kuwakabili