Tahadhari: Uviko-19 haujaondoka Afrika

November 24, 2022 8:41 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Ugonjwa wa Corona (Uviko-19) bado unaendelea kuangamiza maisha ya watu duniani. Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), zaidi ya watu 200,000 wamefariki kwa ugonjwa huo barani Afrika.

Unakumbushwa kuchukua tahari ikiwemo kupata chanjo na kuendelea kunawa mikono na kutumia barakoa.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: LIVE:WABUNGE WAKIWACHAPA MASWALI MAWAZIRI | Bunge la 13 | Kikao cha 28

🔴LIVE: LIVE:WABUNGE WAKIWACHAPA MASWALI MAWAZIRI | Bunge la 13 | Kikao cha 28

Nukta TV

Top 10 ya magari yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta

Top 10 ya magari yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta

Nukta TV

SGR yaingizia Serikali Sh169.37 bilioni tangu kuanza kwa safari Juni 2024

SGR yaingizia Serikali Sh169.37 bilioni tangu kuanza kwa safari Juni 2024

Nukta TV