Tahadhari: Uviko-19 haujaondoka Afrika

November 24, 2022 8:41 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Ugonjwa wa Corona (Uviko-19) bado unaendelea kuangamiza maisha ya watu duniani. Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), zaidi ya watu 200,000 wamefariki kwa ugonjwa huo barani Afrika.

Unakumbushwa kuchukua tahari ikiwemo kupata chanjo na kuendelea kunawa mikono na kutumia barakoa.

Follow Us on TikTok

Subscribe to Our YouTube Channel

Subscribe

Loading videos...

Loading videos...

Loading videos...