Tahadhari: Uviko-19 haujaondoka Afrika
November 24, 2022 8:41 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Ugonjwa wa Corona (Uviko-19) bado unaendelea kuangamiza maisha ya watu duniani. Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), zaidi ya watu 200,000 wamefariki kwa ugonjwa huo barani Afrika.
Unakumbushwa kuchukua tahari ikiwemo kupata chanjo na kuendelea kunawa mikono na kutumia barakoa.

Latest
12 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Nchi 10 zilizoongoza kwa uwekezaji (FDI) Tanzania 2024
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Brela yatangaza mfumo mpya utoaji huduma leseni kundi ‘A’
2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Nukta Africa kuzindua Nukta AI, siku ya uhuru wa vyombo vya habari
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Tume ya Chande yapendekeza katiba mpya kabla ya 2028