Watu zaidi ya 3000 wafariki kwa Uviko-19 saa 24 zilizopita

December 19, 2022 8:30 am · Daudi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema watu 3,701 wamefariki dunia saa 24 zilizopita kwa ugonjwa wa Corona (Uviko-19). 

WHO pia imeeleza kuwa katika muda huo, watu 807,865 wamepata maambukizi na kufanya idadi ya watu walioambukizwa ugonjwa huo tangu mwaka 2019 kufikia milioni 647.9.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: LIVE:WABUNGE WAKIWACHAPA MASWALI MAWAZIRI | Bunge la 13 | Kikao cha 28

🔴LIVE: LIVE:WABUNGE WAKIWACHAPA MASWALI MAWAZIRI | Bunge la 13 | Kikao cha 28

Nukta TV

Top 10 ya magari yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta

Top 10 ya magari yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta

Nukta TV

SGR yaingizia Serikali Sh169.37 bilioni tangu kuanza kwa safari Juni 2024

SGR yaingizia Serikali Sh169.37 bilioni tangu kuanza kwa safari Juni 2024

Nukta TV