Watu zaidi ya 3000 wafariki kwa Uviko-19 saa 24 zilizopita

December 19, 2022 8:30 am · Daudi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema watu 3,701 wamefariki dunia saa 24 zilizopita kwa ugonjwa wa Corona (Uviko-19). 

WHO pia imeeleza kuwa katika muda huo, watu 807,865 wamepata maambukizi na kufanya idadi ya watu walioambukizwa ugonjwa huo tangu mwaka 2019 kufikia milioni 647.9.

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Wabunge waliokwenda Morocco bila kibali kikaangoni , utoro ukiibuliwa bungeni

Wabunge waliokwenda Morocco bila kibali kikaangoni , utoro ukiibuliwa bungeni

Nukta TV

Mfahamu Leonard Mususa Alama ya Ungozi iliyoacha majonzi kwa 'MACEOs' Tanzania

Mfahamu Leonard Mususa Alama ya Ungozi iliyoacha majonzi kwa 'MACEOs' Tanzania

Nukta TV

Bei za mafuta mwezi Juni hizi hapa, dizeli ikipaa kwa Sh85

Bei za mafuta mwezi Juni hizi hapa, dizeli ikipaa kwa Sh85

Nukta TV